Haha ili nisomeshe watoto wake au sioππππππππkaa hapo subiri kibibi chs miaka 40+
Kuna yule ulininitag jana au unadhan tumeshaachana?haha kumbe una bebi wa humu tuambie anaitw naniπ usipomtaja tutajua wako weng
Sasa wewe iphone 12 hiyo ni kama mchanga tu. Mimi ntampa dunia na vyote vilivyomo na akitaka muondoke itabid mkatafute dunia nyingineπHuwa unasikkia "masikini yule kijana kama mdogo" Huyo kijana ndio wewe achana na chombo cha mwanajeshiπ€£π€£π€£
Amehlo is taken already hivi unajua nilimwahidi iPhone 12
Kuna nini tena
Hiyo dunia unayoizungumzia iko ndani ya iPhone 12. πakiweka Google na JF kamalizSasa wewe iphone 12 hiyo ni kama mchanga tu. Mimi ntampa dunia na vyote vilivyomo na akitaka muondoke itabid mkatafute dunia nyingineπ
π sio kirahisi hivyo mtumie kwanza ya pasakaHiyo dunia unayoizungumzia iko ndani ya iPhone 12. πakiweka Google na JF kamaliz
Ila sasa Amehlo anataka nini? haka katoto hakajulikan kama kaislam au kakristo. Hata hakifungi mwezi huu. Hakajui hata kupika nilikaita gheto kachukue iPhone 12 kakagoma
Awe makini san n madumga dunga Johnnie Walkerπ sio kirahisi hivyo mtumie kwanza ya pasaka
wewe mbona unajisahau au unetuachia kundi wenyeweAwe makini san n madumga dunga Johnnie Walker
Aje achukue gheto si unajua gharama za kutolea ni kubwa siku hizi
Taken where ππππhebu niache mie usinikoseshe bahati mie,Huwa unasikkia "masikini yule kijana kama mdogo" Huyo kijana ndio wewe achana na chombo cha mwanajeshiπ€£π€£π€£
Amehlo is taken already hivi unajua nilimwahidi iPhone 12
π singwengweTaken where ππππhebu niache mie usinikoseshe bahati mie,
Niko single singwengwe
Hakika hatakiwi kubaki hapa kabisaHuyu ni wakumfukuzia pluto huko akakae na mawe π€£
Single niliekomaaaπ singwengwe
πHakika hatakiwi kubaki hapa kabisa
Kumbe kuna single wachanga sijui ndio kina harmonaizaSingle niliekomaaa
Ndio ππππ
Kumbe kuna single wachanga sijui ndio kina harmonaiza