Yawezekana mimi ambaye sijawahi kupitia chuo cha uongozi "Uongozi Institute" sijui namna bora ya kuongoza lakini kwa busara tu za kawaida siyo sahihi kabisa kwa waziri mkuu kumkaripia mkaguzi wa ndani wa MSD.
Ilitakiwa waziri mkuu kuonyesha ukali kwa waziri wa afya, na kuhoji haya yanatendeka akiwa wapi? na kutoa maagizo kwa wote waliohusika kuchukuliwa hatua.
Waziri Mkuu akishamuwakia waziri naye anashuka chini na kuwashia moto mkurugenzi na bodi.
Mkurugenzi na bodi nao wanauwasha kwa waliohusika ndani ya MSD.
Lakini sasa waziri mkuu anawaruka watu wote hawa na kwenda chini kumuwashia moto mkaguzi.
Hawa wa kati kati hawa wanabaki kama jambo haliwahusu.
Ni lazima jambo linapotukia kwenye taasisi basi kila kiongozi aliyeko kwenye chain apate ile kashi kashi ili kesho wote wanaohusika wawe makini mambo hayo yasitokee tena.
Na kama hayo ndiyo wanafundishana uongozi institute basi na kwenyewe tubadirishe mitaala haraka sana
Ilitakiwa waziri mkuu kuonyesha ukali kwa waziri wa afya, na kuhoji haya yanatendeka akiwa wapi? na kutoa maagizo kwa wote waliohusika kuchukuliwa hatua.
Waziri Mkuu akishamuwakia waziri naye anashuka chini na kuwashia moto mkurugenzi na bodi.
Mkurugenzi na bodi nao wanauwasha kwa waliohusika ndani ya MSD.
Lakini sasa waziri mkuu anawaruka watu wote hawa na kwenda chini kumuwashia moto mkaguzi.
Hawa wa kati kati hawa wanabaki kama jambo haliwahusu.
Ni lazima jambo linapotukia kwenye taasisi basi kila kiongozi aliyeko kwenye chain apate ile kashi kashi ili kesho wote wanaohusika wawe makini mambo hayo yasitokee tena.
Na kama hayo ndiyo wanafundishana uongozi institute basi na kwenyewe tubadirishe mitaala haraka sana