MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Goli Moja tulilofungwa leo limetokana na Yeye hasa kwa Uzembe wake wa Kutoruka akihofia Rasta zake na Mwanaume akapiga Header ya maana Goli.
Na aliponikera zaidi amefungisha na Kipa Manula anamsema Yeye kwa Dharau anamuonyesha Ishara ya Kufunga Mdomo.
Kitu pekee alichobarikiwa nacho ni Kutuzuga wana Simba SC hasa pale akiwa anakosea na Kutugharimu kwa kujifanya muda wote anafoka na kujifanya ni Kocha wa Uwanjani kwa kila mara kutoa Maelezo kuonyesha kuwa anajua mno Mpira wakati kumbe ni Mtu wa Kawaida sana na hata hajafikia 50% tu ya Uwezo alionao Beki wa Watani zeru Yanga SC Dickson Job.
Kujiamini Kwake kulikopitiliza, Dharau na Ujivuni wa Kikongo ndiyo unamsumbua na mpaka Kuigharimu Timu yetu.
Ole wake nimsikie Juha na Mnafiki akimlaumu Kipa Manula na Beki Onyango wakati tuliouona vyema Mpira na Kiufundi tumeona kuwa aliyetugharimu ni Beki Henock Inonga kwa Kushindwa kuruka sambamba na Mfungaji wa Goli pekee lililotuua ( tulilofungwa ) leo nchini Guinea.
Na aliponikera zaidi amefungisha na Kipa Manula anamsema Yeye kwa Dharau anamuonyesha Ishara ya Kufunga Mdomo.
Kitu pekee alichobarikiwa nacho ni Kutuzuga wana Simba SC hasa pale akiwa anakosea na Kutugharimu kwa kujifanya muda wote anafoka na kujifanya ni Kocha wa Uwanjani kwa kila mara kutoa Maelezo kuonyesha kuwa anajua mno Mpira wakati kumbe ni Mtu wa Kawaida sana na hata hajafikia 50% tu ya Uwezo alionao Beki wa Watani zeru Yanga SC Dickson Job.
Kujiamini Kwake kulikopitiliza, Dharau na Ujivuni wa Kikongo ndiyo unamsumbua na mpaka Kuigharimu Timu yetu.
Ole wake nimsikie Juha na Mnafiki akimlaumu Kipa Manula na Beki Onyango wakati tuliouona vyema Mpira na Kiufundi tumeona kuwa aliyetugharimu ni Beki Henock Inonga kwa Kushindwa kuruka sambamba na Mfungaji wa Goli pekee lililotuua ( tulilofungwa ) leo nchini Guinea.