Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Hii picha ya front page leo 11/5/2020, Daily News imenifikirisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ni umbea?Ilivyokufikirisha ndo ukaamua kuandika umbea huku
Labda anadhani treni itapita kwenye hayo majani.Ugumu wa hali uko wapi mkuu? na Hizi Mvua unafikiri utazuia majani yasiote mahali palipo na Udongo?
Asante mkuu ingalau wewe unaweza kudiscuss kwa kutumia akili.Jidu La Mabambasi,
... kilichokufikirisha nini wakati taarifa rasmi ya serikali ni kuwa mradi umekamilika kwa 75%?
Inakuwa kama ilijengwa miaka ya 1970 mwishoni. Hayo ndio matokeo ya kujali zaidi sifa binafsi na uchumi kuliko kujali maisha ya watu na kufuata ushauri wa kitaalam.
Huku Morogoro kazi inaendelea vizuri sana, nikifika Kihonda kwa chambo nitakupigia pichaJidu La Mabambasi,
... kilichokufikirisha nini wakati taarifa rasmi ya serikali ni kuwa mradi umekamilika kwa 75%?
Tulia wewe ,hapo hamna gari ya zege itakayopita ila zaidi utaona crane zinakuja na kupachika vitu flani vinaitwa I beam ambavyo vinatengezwa sehemu nyingine kabisa na ambavyo kuwekwa hapo havichukui hata siku tatuAsante mkuu ingalau wewe unaweza kudiscuss kwa kutumia akili.
Najiuliza
-hapo unapoiona picha nguzo ndio imefika na taruma la zege haliendelei
-hapo unaona ni bado hapa mjini DSM(na kazi haiendelei)
-kwenye picha hata kibarua haonekani
-Kwa nyasi tunazoziona hakuna gari ya kifusi, zege, kokoto wala mchanga iliyopita hapo muda mrefu
Ni vema basi tungepata toka Daily News picha za kule kunakoendelea kujengwa ili tuione hiyo 75% ya maendeleo.
Vinakuja lini leo mchana?Tulia wewe ,hapo hamna gari ya zege itakayopita ila zaidi utaona crane zinakuja na kupachika vitu flani vinaitwa I beam ambavyo vinatengezwa sehemu nyingine kabisa na ambavyo kuwekwa hapo havichukui hata siku tatu
Tupiamo Kapicha mkuu!Huku Morogoro kazi inaendelea vizuri sana, nikifika Kihonda kwa chambo nitakupigia picha
Usiamini taarifa za serikali nyingi ni za kupika.Jidu La Mabambasi,
... kilichokufikirisha nini wakati taarifa rasmi ya serikali ni kuwa mradi umekamilika kwa 75%?
Ulitaka yaote maua au? Mbona mambo mengine mnaibua ni ya kishenzi kabisa?
Niko World Bank mkuu.Beberu wewe.
Tusaidiane kumshangaa aisee, maana mijitu mingine hadi inatia hasira, kwani hilo ni jengo linalojengwa kwenye kiwanja kimoja?,watu wengine bhana..Wabongo bwana!
Kwa hiyo nyasi ndo zinaashiria kwa miradi imesimama au umeambiwa mradi mzima hapo tu ndo panajengwa
Sent using Jamii Forums mobile app