Siyo siri, miradi mikubwa kama SGR, inaota nyasi. Hali ni ngumu!

Siyo siri, miradi mikubwa kama SGR, inaota nyasi. Hali ni ngumu!

Hao kina Francis Da Don ni mapunguani au wanatumwa kupinga kila wazo bila kutumia akili.

Gazeti la Serikali, linaweka front page, kazi iliyoota nyasi, na ina hang hewani kama mahame, tena pale si mbali na ilipoanzia ujenzi, miaka mitano hivi iliyopita, halafu vichwa panzi hawauoni ujumbe.

Vichwa vyenu vya kunywea kangara.
Hapo papo hivyo muda sasa.
 
Tusaidiane kumshangaa aisee, maana mijitu mingine hadi inatia hasira, kwani hilo ni jengo linalojengwa kwenye kiwanja kimoja?,watu wengine bhana..

Sio kila mtu ni kipofu au mazezeta kama nyie waimba mapambio. Tatizo lenu hata kumbukumbu hamna. Kama serikali ilitangaza mwaka 2017 kuwa ujenzi wa kipande cha Dar - Morogoro ulikuwa umekamilika kwa 70% (na kuwa kufikia December 2018 kingekuwa kimekilika) iweje leo 2020 May bado mradi umekamilika kwa 75%?
Hivi nyie Mataga mnajielewa kweli?
 
Sio kila mtu ni kipofu au mazezeta kama nyie waimba mapambio. Tatizo lenu hata kumbukumbu hamna. Kama serikali ilitangaza mwaka 2017 kuwa ujenzi wa kipande cha Dar - Morogoro ulikuwa umekamilika kwa 70% (na kuwa kufikia December 2018 kingekuwa kimekilika) iweje leo 2020 May bado mradi umekamilika kwa 75%?
Hivi nyie Mataga mnajielewa kweli?
Yeye amezungumzia zile nyasi zilizoota pale chini ya daraja ndio zinaashiria ujenzi kusimama, tujikite kwenye mada yake ya hizo nyasi
 
Yeye amezungumzia zile nyasi zilizoota pale chini ya daraja ndio zinaashiria ujenzi kusimama, tujikite kwenye mada yake ya hizo nyasi

Hilo la nyasi ni akili yako imekutuma hivyo. Hoja ni kuwa gazeti la serikali limechapisha front page picha inayoonyesha sehemu ambayo ujenzi wake umesimama muda mrefu sana sasa. Hata huko kuota nyasi ni kuashiria kuwa hakuna kinachofanyika hapo muda mrefu. Ulishaona wapi mahali watu wanapaganyaga kila siku pakaota nyasi?
 
Asante mkuu ingalau wewe unaweza kudiscuss kwa kutumia akili.
Najiuliza
-hapo unapoiona picha nguzo ndio imefika na taruma la zege haliendelei
-hapo unaona ni bado hapa mjini DSM(na kazi haiendelei)
-kwenye picha hata kibarua haonekani
-Kwa nyasi tunazoziona hakuna gari ya kifusi, zege, kokoto wala mchanga iliyopita hapo muda mrefu

Ni vema basi tungepata toka Daily News picha za kule kunakoendelea kujengwa ili tuione hiyo 75% ya maendeleo.
Kazi inaendelea vizuri tu, station ya Dar ukipita sasa hivi inavutia, wiki jana kwenye kutafuta mkate nimeenda hadi station ya Kidete (mbele ya Kilosa) kwa kufuata reli, huko kote kazi inaendelea kwa kasi.
 
Kazi inaendelea vizuri tu, station ya Dar ukipita sasa hivi inavutia, wiki jana kwenye kutafuta mkate nimeenda hadi station ya Kidete (mbele ya Kilosa) kwa kufuata reli, huko kote kazi inaendelea kwa kasi.

Endelea kuota, ila hata ukiamka baada ya 2025 ujenzi bado utakuwa ni 75%.
 
Back
Top Bottom