Siyo siri, miradi mikubwa kama SGR, inaota nyasi. Hali ni ngumu!

Siyo siri, miradi mikubwa kama SGR, inaota nyasi. Hali ni ngumu!

Endelea kuota, ila hata ukiamka baada ya 2025 ujenzi bado utakuwa ni 75%.
Kwa nini niseme uongo? Siwezi kujua kazi imefikia asilimia ngapi maana mimi si mtaalam, ila kwa kibarua changu angalau mara mbili kila wiki nakwenda Soga ilipo camp kubwa ya Yapi Markezi kwa lot one (DSM-Moro) naona kazi inaendelea.

Sehemu kubwa reli tayari.
 
Samahanini kama mimi ndo ntakuwa nimeona vibaya, hiyo picha ni ya mwaka gani na nchi gani?
 
Kwa nini niseme uongo? Siwezi kujua kazi imefikia asilimia ngapi maana mimi si mtaalam, ila kwa kibarua changu angalau mara mbili kila wiki nakwenda Soga ilipo camp kubwa ya Yapi Markezi kwa lot one (DSM-Moro) naona kazi inaendelea.

Sehemu kubwa reli tayari.

Ndugu, basi utakuwa unajua zaidi maendeleo ya huo mradi zaidi ya serikali. Hakuna mtu hapa aliedai kuwa hakujajengwa kitu, ni kweli kuna vipande na sehemu zilizokamilika (na ndio maana serikali inatuambia - japo tangu 2017- kuwa ujenzi umekamilika kwa 75%). Hoja hapa ni kuwa kuna asilimia ilizobaki. Na ushahidi ndio huo kwenye picha. Hicho kipande leo ni mwaka wa 3 kipo vile vile.
 
Samahanini kama mimi ndo ntakuwa nimeona vibaya, hiyo picha ni ya mwaka gani na nchi gani?

Kama upo Dar, nenda pale Kamata makutano ya barabara ya Kilwa na Nyerere. Utajionea mwenyewe, usisahau kuvaa barakoa.
 
MATAGA kimya hakuna tena ngonjera za SGR,STEGOLAZ wala TANZANITE BRIJI.
Mkuu mimi sipingi hiyo miradi mizuri kwa nchi yetu, lakini kama gazeti la Daily News lilivyoonyesha vipande vya SGR havina maendeleo, hili ndo linanipa ukakasi.
 
Mkuu mimi sipingi hiyo miradi mizuri kwa nchi yetu, lakini kama gazeti la Daily News lilivyoonyesha vipande vya SGR havina maendeleo, hili ndo linanipa ukakasi.
Na hakuna hata mradi huo utakaokamilika. Labda ije serikali nyingine itakayokuwa na strategy.
 
Back
Top Bottom