GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukuje kule mpendwaNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Hii kauli huwa sielewi kwambaTuendelee kunywa mtori nyama zipo ndani
Dalili ya mvua ni mawinguHii kauli huwa sielewi kwamba
Ujumbe huu ufike Chatle!Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Walifanya makosa gani hao mpaka wasamehewe? Wamehukumiwa kwa hayo makosa walotenda unayoyafahamu?Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Mbona unaongea kwa mafumbo😎😎😎Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Shetani wetu yupo, Tena anadanganya kwenye madhabahuNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Mpaka sasa uzi una replies 20 tu 😂 😂 🤣 🤣Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Yule ni shetani hata alale kanisani ni shetani tu. Kitendo cha kuwauwa maelfu ya watu wasio na hatia kule MKIRU ni ushetani na lana itaandama mpaka kizazi vyakeNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Fumbo mfumbie mjinga. Aliyoandika ni wazi kabisa. Kinachosumbua hapa ni ujinga wako tu. Hakuna fumbo.Mbona unaongea kwa mafumbo😎😎😎