ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Naumwa akili ndio maana nilikuoa
Unaumwa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumwa nini
huo sasa ni ujinga unawaza.Kwa taarifa yako huyo ni kada kindaki ndaki, ukiona anayasema haya ujue hali ndani ya ccm ni tetekuwanga
Basi Ben Saanane hahitaji msamaha. Msamaha unatolewa kwa wakosefu. Yasemekana hiyo Thesis ya Maganda ya korosho imetolewa kwenye shelves za maktaba ya UDSM. Nahisi Chuo kinaona kinadhalilikaAlitaka tu Kujua ukweli wa 'Kitaaluma' hasa juu ya Andiko ( Thesis / Dissertation ) la Mzuia CORONA Mwandamizi Tanzania nzima na Mpenda Kwao.
Siwezi kutoa 'like' kwa hoja pumba. Na hoja yenye mvuto ndiyo hupata replies nyingi.Like sometimes ni kuonesha kuwa Nimekusoma, Nimepita hapa '
Like siyo lazima ukubaliane na hoja.
Wewe NGURUWE WA CCM huna adabu.Nimekupa kiki NYUMBU WA CHADEMA wamekuja kukufuta aibu
Manyumbu ya chadema yamekuja kimfutia aibuVipi Bado kuna reply 20 au hali ikoje?
😀😀😀😀 dah! We mkuu una utani wa ngumi.Hata bundle hana
Na kukaa viti vya mbele ya madhabahu na sigida zao. Kumbe wamefunga hirizi mwili mzimaNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Akikujibu uniiteBen na Azory kwanza walikuwa na kosa gani la wao kutakiwa kusamehewa?