Wengine hatukuona fumbo lolote pale. Tulielewa na kusonga mbele. Lakini akija mtu akasema hicho kilicho wazi ni fumbo hakika hakuelewa. Au ni mkuda tu. Kaelewa lakini anasema ni fumbo ili ... Jikumbushe mabandiko ya P. na makala za Economist. Eti hivi ni kweli na kama ni hivyo wazalendo tutanyamazaje? Mwenye mali kasikia kapotezea. Lakini mpambe kalivalia kengere. Si unajua tena wana nguvu. Mwenye mali anahamaki. Kumbe nililopotezea wameliona wengi. Na wako kinyume cha huyo bwege. Atanitambua. Kabendera akatundikwa. Nani amsimamishe kizimbani? Hayupo. Kama si ugali ni mboga atamwaga. DPP kachukua mamilioni ya dola.
Mama D kama umeelewa si uende kufua nguo za D kesho shule! Umbea mwingine? Genta dola hana. Anatembelea pasi ya kijani bila kujua kuna mpya haijapigwa chapa. Membe anajua sasa. Kaguswa kanukia! Insider kamtahadharisha Genta asikubali pm. Hapo sasa Genta ajisalimishe kwa majeshi ya PK na M7. Mhutu hoi kwa Bahima Empire!