msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
Mchawi sio lazma apae na ungo... hata watu wenye roho mbaya na wasipoenda maendeleo ya watu na wanachekelea mtu akifeli jambo pia ni mchawi...Mpaka sasa uzi una replies 20 tu [emoji23] [emoji23] [emoji1787] [emoji1787]
Wana JF shikamoo hawatoi kiki za kishamba [emoji23]