Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

But tusimu underrate slim dad
binafsi nina view za aina mbili,

Mosi, anaweza kuijua tz kwa undani sana but nothing he can do about it. we're too big for him. anaweza kupata data lakini akashindwa kuzitumia kwa sababu intelligence system hubadilika time to time. sana sana, anaweza kuitumia tz kwa faida za nchi yake. kwa mfano, aliyesababisha Rwanda asiwe Congo hivi sasa ni tz. kuna mambo mengi nyuma ya kapeti yanaendelea, ingawa uswahiba wa pogba na slim dad hautakuwa na happy ending...(Mungu atupe maisha marefu na tuje kushuhudia).

Pili, Slim ana face constant threat kutoka kwa wahutu walioko Congo and in within Rwanda. Kabila akiondoka madarakani sijui itakuwaje. nachoona anajaribu ku-neutralize political tension iliyokuwepo zama za JK, but kwa manufaa yake Congo. ni strategist mzuri, but naona muda siyo tena rafiki kwake..
 
Ana interest na kipande fulani cha nchi lakini yuko so much calculative
 
Sisi tunataka mahusiano mazuri na nchi jiran mambo mengine ni hisia zenu nyinyi kwanza ni ndungu zetu kwa nini tutafute ubaya na nyie?Rwanda&tanzania undugu wetu udumu milele sema Amina@in Lusekero voice
Naona umeamua kuwatetea Wakwirima.
 
Kwa kipi ilichonacho Tz,Kaazi kweli kweli Huu ni uzi wa 10 kama sikosei mwaka huu ni ishu za Kagame kagame na Rwanda yake nadhani watz wamefika mwisho wa kufikiri
Mkapa alishamaliza siku mingi aliposema Watanzania ni wavivu wa kufikiri. Maneno ya kweli hata kama yalisemwa mahali si pake.
 
We are watching out and remain vigilant
Madam dont worry rest assured of stability of the intelligence of tiss. Hivi kweli mpaka wewe mtoto wa madale unayajua haya halafu tiss hawajui? To me mr slim na kabaila na peter nk ni tv tuu remote ipo kwa tiss
 
Dah hahahaaa. Kule anapora au kutrade na smugglers in exchange with arms.
 
Mkuu asante kwa comment hii ila na swali dogo ,huyo aliyevujisha siri kuwa balozi wetu ni spy ni Mnyarwanda aliye kuwa anaishi Tanzania ama ni Mtanzania ?
 
Utapotezwa mkuu,maana unataka kuwaamsha waliolala
 
Mkuu, Mr. slim tunamjua vizuri sana. Useme tu the guy is lucky. kuna kipindi alipona assassination baada ya kutanguliza motorcade ambayo yeye hakuwemo. For your information, kwenye huo msafara-No one is alive today..kwa sababu wote waliangamia...
Duu sasa mbona mambo ya sirini mnaweka hadharani
 
facts you speak out!!! mkuu mtoa uzi alikosea sana tena sana pale alipowaandika MOSSAD,aisee hawa watu hatari tupu kuwahusisha na kuli,mbeba mizigo kama mr slim.kiukwel hana uwezo wa kuwaajili MOSSAD kuwa mentor wa kikosi chake.hii ni kutokana na ukweli usiopingika juu ya mossad(they are so secretly on their missions).kumbuka mauaji ya maprofesa wa physics iran,Kifo cha hugo chavez(sumu isiyokuwa na radha wala harufu),kifo cha pope john paul XIII na wengine wengi tu.kiukwel MOSSAD wana uwezo mkubwa mno wa kutekeleza mauaji pasipo kuacha alama hata kidogo.nadhani hawana ujinga wa kuajiliwa na mtu kama mr.slim ni kujidhalilisha.
shabash!!!!
 
mbongo (kwa mujibu wa makaratasi) but agent of the enemy..
Oh sasa hili ni tatizo kubwa maana yake informer wa Kagame wapo kila kona anyway haya mambo wanajua wenyewe ngoja niwaachie wenyewe
 
Ndio nasema matokeo yameonekana marekani amezuia matukio ya kigaidi zaidi ya 100 mpaka leo ila Tanzania sihitaji kufuatilia sababu kwa macho yangu naona tembo wanauawa kila kukicha.... Magemdo ya bandarini yanavushwa kila kukicha....madawa ya kulevya .... Makinikia kuibwa bado tanzanite na almasi sasa unaponiambia eti kuna mission tumezuia nikueleweje wakati makinikia mpaka ssa kuna loss ya zaidi ya trillion 400 nikueleweje

Matokeo yanaonekana mkuu haihitaji kufuatilia ndio ukweli ujulikane...... Liko wazi kabisa saanane lisu mawazo n.k wameshambuliwa na wauaji mpaka leo hawajapatikana je inahitaji kuuliza mission za siri walizofanikiwa TISS ilihali vitu vidogo kma hivi vinawashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…