Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

Siyo Utoto mitandaoni, Mr Slim is pretty dangerous!

But tusimu underrate slim dad
binafsi nina view za aina mbili,

Mosi, anaweza kuijua tz kwa undani sana but nothing he can do about it. we're too big for him. anaweza kupata data lakini akashindwa kuzitumia kwa sababu intelligence system hubadilika time to time. sana sana, anaweza kuitumia tz kwa faida za nchi yake. kwa mfano, aliyesababisha Rwanda asiwe Congo hivi sasa ni tz. kuna mambo mengi nyuma ya kapeti yanaendelea, ingawa uswahiba wa pogba na slim dad hautakuwa na happy ending...(Mungu atupe maisha marefu na tuje kushuhudia).

Pili, Slim ana face constant threat kutoka kwa wahutu walioko Congo and in within Rwanda. Kabila akiondoka madarakani sijui itakuwaje. nachoona anajaribu ku-neutralize political tension iliyokuwepo zama za JK, but kwa manufaa yake Congo. ni strategist mzuri, but naona muda siyo tena rafiki kwake..
 
binafsi nina view za aina mbili,

Mosi, anaweza kuijua tz kwa undani sana but nothing he can do about it. we're too big for him. anaweza kupata data lakini akashindwa kuzitumia kwa sababu intelligence system hubadilika time to time. sana sana, anaweza kuitumia tz kwa faida za nchi yake. kwa mfano, aliyesababisha Rwanda asiwe Congo hivi sasa ni tz. kuna mambo mengi nyuma ya kapeti yanaendelea, ingawa uswahiba wa pogba na slim dad hautakuwa na happy ending...(Mungu atupe maisha marefu na tuje kushuhudia).

Pili, Slim ana face constant threat kutoka kwa wahutu walioko Congo and in within Rwanda. Kabila akiondoka madarakani sijui itakuwaje. nachoona anajaribu ku-neutralize political tension iliyokuwepo zama za JK, but kwa manufaa yake Congo. ni strategist mzuri, but naona muda siyo tena rafiki kwake..
Ana interest na kipande fulani cha nchi lakini yuko so much calculative
 
Sisi tunataka mahusiano mazuri na nchi jiran mambo mengine ni hisia zenu nyinyi kwanza ni ndungu zetu kwa nini tutafute ubaya na nyie?Rwanda&tanzania undugu wetu udumu milele sema Amina@in Lusekero voice
Naona umeamua kuwatetea Wakwirima.
 
Kwa kipi ilichonacho Tz,Kaazi kweli kweli Huu ni uzi wa 10 kama sikosei mwaka huu ni ishu za Kagame kagame na Rwanda yake nadhani watz wamefika mwisho wa kufikiri
Mkapa alishamaliza siku mingi aliposema Watanzania ni wavivu wa kufikiri. Maneno ya kweli hata kama yalisemwa mahali si pake.
 
We are watching out and remain vigilant
Madam dont worry rest assured of stability of the intelligence of tiss. Hivi kweli mpaka wewe mtoto wa madale unayajua haya halafu tiss hawajui? To me mr slim na kabaila na peter nk ni tv tuu remote ipo kwa tiss
 
Hayo madini mbona hatujawaiskia ana migodi kule au kule wanaokota madini kama mawe.kule kongo binafsi nimeona makampuni ya South africa na Ulaya au america ndio wanachimba migodi kuanzia masharik Kusini ya kongo huyo kagame sijui anaokota msituni au .??
Dah hahahaaa. Kule anapora au kutrade na smugglers in exchange with arms.
 
Mr. threader, you miss the point here! hakuna direct evidence kuwa MOSSAD ndo mentor wa spies from mr. Slim..hizo ni speculations tu. In short, nchi zote za ukanda huu wa maziwa makuu haziaminiani. kila mmoja ana m-spy mwenzake kimya kimya. For those who are luck (spies) wanafanikisha mission na kurudi nyumbani, but wengi wanafia huko kusikojulikana.
Mr. Slim ni opportunist sana, anajaribu kujiweka karibu na Israel ili apata advantage ya kupata silaha and military training...but he ain't worth it!

Mkuu, kwa nini usijiulize ma-spy wa tz walioko Rwanda etc? unakumbuka Rwanda walishawahi kumkataa balozi mpya wa Tanzania kwamba ni spy? kwenye hiyo issue, namjua mpaka aliyevujisha siri kwa Mr. Slim..but alishashughulikiwa siku nyingi. Tension ya JK na PK, Mr.Slim alikuwa halali ndani. alikuwa anahama hama kila usiku... Do you Know why? connect the dot!

sijui exposure yako in real life, lakini Mr. Slim siyo wa kuogopwa kihivyo. kwa wale adui zake wanaouwa wakiwa ughaibuni, ni sababu nyingi ikiwepo security issue ya nchi husika. kwa mfano, SA hata wewe unaweza fanya tukio lolote na uka-walk away with it! kuna mtu anaitwa Joel mutabazi, former bodyguard wa kagame ndo mtu wa mwisho kuongea na Patrick Kalegeya kwenye simu minutes away before his demise. huyu mutabazi ni adui sasa na serikali ya kigali. UNHCR # yake ipo kwenye bracket. The true assassin ni jamaa anaitwa Apollo Gafaranga, rafiki yake na marehemu kalegaya. so the point here is, ni rahisi kujua rafiki yako yuko wapi...and kalegaya trusted his friend without doubt!

Ntabana.jpg
1526922_1439549639596522_1439995272_n1.jpg

MUUWAJI WA KALEGEYA and owner of Cine Star Cinema in Nyamilambo.

14527-leisure.jpg
cinestar-cinema-2.jpg


ITAENDELEA...
Mkuu asante kwa comment hii ila na swali dogo ,huyo aliyevujisha siri kuwa balozi wetu ni spy ni Mnyarwanda aliye kuwa anaishi Tanzania ama ni Mtanzania ?
 
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.

Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.

Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.

Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.

Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.

Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.

Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.

Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.

Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.

Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?

Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua.

Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.

Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.
Utapotezwa mkuu,maana unataka kuwaamsha waliolala
 
Mkuu, Mr. slim tunamjua vizuri sana. Useme tu the guy is lucky. kuna kipindi alipona assassination baada ya kutanguliza motorcade ambayo yeye hakuwemo. For your information, kwenye huo msafara-No one is alive today..kwa sababu wote waliangamia...
Duu sasa mbona mambo ya sirini mnaweka hadharani
 
facts you speak out!!! mkuu mtoa uzi alikosea sana tena sana pale alipowaandika MOSSAD,aisee hawa watu hatari tupu kuwahusisha na kuli,mbeba mizigo kama mr slim.kiukwel hana uwezo wa kuwaajili MOSSAD kuwa mentor wa kikosi chake.hii ni kutokana na ukweli usiopingika juu ya mossad(they are so secretly on their missions).kumbuka mauaji ya maprofesa wa physics iran,Kifo cha hugo chavez(sumu isiyokuwa na radha wala harufu),kifo cha pope john paul XIII na wengine wengi tu.kiukwel MOSSAD wana uwezo mkubwa mno wa kutekeleza mauaji pasipo kuacha alama hata kidogo.nadhani hawana ujinga wa kuajiliwa na mtu kama mr.slim ni kujidhalilisha.
shabash!!!!
 
mbongo (kwa mujibu wa makaratasi) but agent of the enemy..
Oh sasa hili ni tatizo kubwa maana yake informer wa Kagame wapo kila kona anyway haya mambo wanajua wenyewe ngoja niwaachie wenyewe
 
Unafahamu kuwa Marekani ni nchi inayoongoza kwa mauaji yaani watu kuuana? Kama ilivyo Afrika Kusini? Au unalijua tukio la september 11 pekee? Unajua US maraisi wawili waliuawa kaa risali mbona tukio lilijirudia? Changamoto zipo bse mifumo hii ya usalama imebuniwa na wanadamu si malaika ndo maana kuna mianya ya waovu kupenya.

Niliuliza swali- nitajie operation tatu pekee unazozijua ambazo majasusi wetu Tz walifanya kuilinda nchi. Kama hujui basi huna sababu ya kushabikia ukilingajisha wakati huna taarifa. Yafaa tufanye ulinganifu tukiwa na taarifa za kweli walau 70%kweli kwa level yetu kama raia. Kuliko kubishana hapa kishabiki. Kumbuka ujasusi si sawa na siasa. Kuna issues kuzielewa zinahitaji ufuatiliaji wa karibu na uwezo wa kutafsiri matukio. Maana unawezaona kitu fulani kimefanyika lkn kina maana tofauti kabisa na kilivyoonekana machoni penu.
Ndio nasema matokeo yameonekana marekani amezuia matukio ya kigaidi zaidi ya 100 mpaka leo ila Tanzania sihitaji kufuatilia sababu kwa macho yangu naona tembo wanauawa kila kukicha.... Magemdo ya bandarini yanavushwa kila kukicha....madawa ya kulevya .... Makinikia kuibwa bado tanzanite na almasi sasa unaponiambia eti kuna mission tumezuia nikueleweje wakati makinikia mpaka ssa kuna loss ya zaidi ya trillion 400 nikueleweje

Matokeo yanaonekana mkuu haihitaji kufuatilia ndio ukweli ujulikane...... Liko wazi kabisa saanane lisu mawazo n.k wameshambuliwa na wauaji mpaka leo hawajapatikana je inahitaji kuuliza mission za siri walizofanikiwa TISS ilihali vitu vidogo kma hivi vinawashinda
 
Back
Top Bottom