Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,960
Wewe ni wa nchi gani mkuu?
Under the Sun
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni wa nchi gani mkuu?
Wewe uliopo Dar ushakutana na speed yoyote kati ya hizo mb 1 mpaka uvizie voda usiku wa manane ndio uipate tena sio constant itapanda mara moja na kuchuka kwenye kbFastest and coverage are two different things, wanaweza kuwa ns speed ila wako chigali na vimji vingine, vijijini nope, kaputi.
Umeielewa hiyo post uliyoikoti lakini? Ni sawa na ile sera ya vijiji ya mwaka 1974, kuwakusanya watu pamoja ili wote wapate huduma. Ninyi kwenu mko kwenye eneo dogo sana, ni rahisi kutoa huduma. Gharama ya kujenga km moja ya lami haitofautiani sana kati ya Rwanda na Tz, kwahiyo unapopima kiwango cha huduma jua kwamba ili Tanzania iwafikie wananchi wote, ni inshu kubwa tofauti na Rwanda.Kongo ina kila kitu ila maskini wa Kutupa na ukubwa ule kwi kwi kwi nyie nchi yenu pa1 na population kila mkoa una rasilimali za kutosha ila maji ya kunywa pale Mkoa wa shinyanga tabu na Kigoma pia tabu tupu huko songea watu wanalkunnywa maji na ngombe iringa kuna mbao ila madawati hakuna Tz kweli mazezeta mko wengi sana shame on you
Umeielewa hiyo post uliyoikoti lakini? Ni sawa na ile sera ya vijiji ya mwaka 1974, kuwakusanya watu pamoja ili wote wapate huduma. Ninyi kwenu mko kwenye eneo dogo sana, ni rahisi kutoa huduma. Gharama ya kujenga km moja ya lami haitofautiani sana kati ya Rwanda na Tz, kwahiyo unapopima kiwango cha huduma jua kwamba ili Tanzania iwafikie wananchi wote, ni inshu kubwa tofauti na Rwanda.
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni.
Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja.
Wewe humjui vizuri Mr slim,unachukulia udogo wa nchi yake ndo unamdharau, hapo umeonyesha kuwa una upeo mdogo Sana wa kuchambua mambo ya kiintelijensia.
Kama udogo wa nchi ingekuwa ni sababu ya nchi pia kuwa dhaifu basi Israel ingekuwa mikononi mwa waarabu leo hii.
Nataka nikuambie ndugu yangu, Sisi hadi sasa tupo uchi kabisa mbele ya Mr Slim.
Labda tu hujui kuwa Mr slim anapigwa tafu na shirika hatari la kijasusi duniani "MOSSAD ".mziki wa MOSSAD hata CIA wanapiga magoti.
Lengo la Mr slim ni kuweka vibaraka wake lake zone ,si umeshamsikia yule anayepiga kelele ya miaka saba? Unadhani kajituma? Yule katumwa.
Kwa taarifa yako, Mr slim ana ma spies wa kike zaidi ya 200 wapo ndani ya nchi yetu ,ni warembo wa haja, na wapo sekta mbalimbali wakifanya kazi waliyotumwa.
Unajua ni kwa nini intelligence yetu imeshuka ubora? Ni baada ya kundi flani kuanza kukandamiza kundi flani.
Sasa hapo unatakiwa ujue kuwa, baadhi ya spies wetu wapo ktk lile kundi linalokandamizwa na huwezi kuwajua wala kuwahisi.
Narudia tena kukuambia, mdharau mwiba mguu hufanyeje?
Usimchukulie poa Mr slim ndo maana wanaompinga anawafuata hadi nje ya nchi na kuwaua.
Who trains his spies? Ni MOSSAD hao.
Kama hatutachukua hatua za makusudi Mr slim anaweza kutufanya kitu mbaya sana, that's why mzee wa diplomasia na demokrasia alitaka kumtoa nduki Mr Slim.
hahahaaaaa eti mweus kama mkaa wa songea kwahy sehem nyngne unakuw rangi gan ila umenifanya nifurahTatizo la umeme elimu bora Afya utekaji wa wasiojulikana mshamaliza nyie ndio mna matatizo mengi na mna kila kitu et Mwanza au kahama haina maji na kuna ziwa Songea iko ziwani haina maji Dsm umeme ni tatizo halafu mtu mwenyewe unajiita “NIGGA” akili zao nyeusi ka Mkaa wa Songea.
Watu wanakirupuka tuu, hawajengi hoja kama binadamu waitwao CDMUnajua tofauti zilizopo kati ya Rwanda na Tz, kijiigrafia, kisiasa na kiuchumi na hata kijamii? Unajua nchi ipi ni kubwa kieneo na ipi ina population kubwa zaidi ya nyingine ki density population? Ukiyajua hayo Utajua, Tz inatakiwa ijenge zahanati ngapi kukidhi watu wake na Rwanda ngapi? Mtandao wa lami ukidhi how many kms, reli na simu pia. Mtandao na huduma za mikoa mitano nitakayokutajia tu Rwanda itapitwa vibaya, Dar kwakuwa Kigali ipo, Klm, Mby, Mwanza na Arusha, ktk hapo tu kila kitu kuaanzia GDP nk Rwanda chali.
Hiyo mikoa minne yenye watu idadi inayokaribiana na Rwanda, au let's say, kila kitu kilichopo Tz kiwepo ktk mkoa mikoa ya Morogoro na Iringa Hadi idadi ya watu hiyo nchi ingekuwaje?
Kila kitu kina faida na hasara zake pia, inawezekana urefu wa barabara moja tu ya Tz ndo mtandao wote wa barabara Rwanda.
HABARI,
"My Son drink water,
Zaidi ya 2000
LUMUMBA
Hivi huyu jamaa huyu Jestkilla kwa nini muda mwingi namuona anamtetea saaaana Mr. Slim!! Tena anatetea saana. Eti Mr. Slim hana mpango na Tz. Nimwambie hakuna nchi itakuwa kimya na kumuamini jirani yake kihiivyo. Kazi kubwa kwa vijana wa usalama nchi zote huifanya wakati wa amani.Mmeanza kupimana nguvu kwa maneno et mbabe flan na flan kweli watz akili ndogo sana.
Na wewe eti umeandikaAcheni mawazo mgando watz!
Nawahakikishia vita yoyote itakayopiganwa pande zote zitaumia sana. Hakuna cha eti tz ni wababe kivita wala nini, mm nawaambia mkitaka iteni mechi ya kirafiki kati yetu na kenya au rwanda. Yani tutaadhibiwa vibaya sana...
Wanaume hapa East Africa ni Kenya na Rwanda tuu mtake msitake! Uchumi wao upo juu, pesa yao ina thamani zaidi ya kwetu ya kila kitu kipo developed huwezi compare na tz. Mambo yao ni ya kisasa kila kitu, Ukitaka mambo mazuri nenda Kenya...
Wenzetu walitoka vitani pamoja na kuwa na migogoro ya hapa na pale leo tz tukiikumbuka vita kagera tunajilaumu kinyama, so pamoja na amani yote hii kuna lipi la maana limefanyika? Vipi tungepiga vita kadhaa kama hayo mataifa?
Tz ina ardhi yenye rutuba, vyanzo vingi vya maji, maziwa, madini, tourist center, bahari etc yani resource za kumwaga na wingi wa watu lakini wapi daily siasa zenu uchwana, unafiki na umbea hiko ndicho mnacho kiweza.
Wazee wa kazi yani Kenya na Rwanda wao hawanaga maneno mengi wao ni wazee wa kazi mnaweza kutembelea hizo nchi mjionee.
Wajinga wachache watasema eti tumetawaliwa kwani kenya hawajatawalia na hao waningereza? Rwandese katawaliwa na mbeligigi na mfaransa, PK kaona mfaransa anamsumbua kama mnavyomfahamu akaona huo uchafu usimsumbue kapiga chini lugha ya kifaransa, kaiweka english na kufutilia mbali ushawishi wa ufaransa nyinyi unafiki flani unawasumbua miongo kadhaa.
Hizo nchi tulizo zisaidia zikapata uhuru leo hii zimetupita kimaendelea! Kwa nini? amani tuliyo nayo imetufikisha wapi? Acheni utaira watanzania...
Hili taifa ni wazembe, wenye fikra chanya hawapewi nafsi yale mambumbumbu ndio yanaewa mamlaka.
Ndio maana PK aliwahi sema akipewa tuu bandari ya Dar es salaam ataibadilisha tz ndio hapo ile bifu ikatokea.
Real tujitafakari sasa tuache mawazo mgando. Tuache maneno tupige kazi kama wenzetu!
Nimegundua watanzania ni waoga sana, Woga ni mbaya mno! Wananchi wengi hawana udhubutu badala yake nguvu nyingi inaishia kwenye maneno! mkitaka maendeleo mfanye practice kabisa... ingieni field mpractice sio kujifariji kwa meneno.
we jamaa ni mkenya...!!huwa mnaitamani sana tz ila ndo basi tu mfanyeje.!!mtuache na bongo yetu sawa??Acheni mawazo mgando watz!
Nawahakikishia vita yoyote itakayopiganwa pande zote zitaumia sana. Hakuna cha eti tz ni wababe kivita wala nini, mm nawaambia mkitaka iteni mechi ya kirafiki kati yetu na kenya au rwanda. Yani tutaadhibiwa vibaya sana...
Wanaume hapa East Africa ni Kenya na Rwanda tuu mtake msitake! Uchumi wao upo juu, pesa yao ina thamani zaidi ya kwetu ya kila kitu kipo developed huwezi compare na tz. Mambo yao ni ya kisasa kila kitu, Ukitaka mambo mazuri nenda Kenya...
Wenzetu walitoka vitani pamoja na kuwa na migogoro ya hapa na pale leo tz tukiikumbuka vita kagera tunajilaumu kinyama, so pamoja na amani yote hii kuna lipi la maana limefanyika? Vipi tungepiga vita kadhaa kama hayo mataifa?
Tz ina ardhi yenye rutuba, vyanzo vingi vya maji, maziwa, madini, tourist center, bahari etc yani resource za kumwaga na wingi wa watu lakini wapi daily siasa zenu uchwana, unafiki na umbea hiko ndicho mnacho kiweza.
Wazee wa kazi yani Kenya na Rwanda wao hawanaga maneno mengi wao ni wazee wa kazi mnaweza kutembelea hizo nchi mjionee.
Wajinga wachache watasema eti tumetawaliwa kwani kenya hawajatawalia na hao waningereza? Rwandese katawaliwa na mbeligigi na mfaransa, PK kaona mfaransa anamsumbua kama mnavyomfahamu akaona huo uchafu usimsumbue kapiga chini lugha ya kifaransa, kaiweka english na kufutilia mbali ushawishi wa ufaransa nyinyi unafiki flani unawasumbua miongo kadhaa.
Hizo nchi tulizo zisaidia zikapata uhuru leo hii zimetupita kimaendelea! Kwa nini? amani tuliyo nayo imetufikisha wapi? Acheni utaira watanzania...
Hili taifa ni wazembe, wenye fikra chanya hawapewi nafsi yale mambumbumbu ndio yanaewa mamlaka.
Ndio maana PK aliwahi sema akipewa tuu bandari ya Dar es salaam ataibadilisha tz ndio hapo ile bifu ikatokea.
Real tujitafakari sasa tuache mawazo mgando. Tuache maneno tupige kazi kama wenzetu!
Nimegundua watanzania ni waoga sana, Woga ni mbaya mno! Wananchi wengi hawana udhubutu badala yake nguvu nyingi inaishia kwenye maneno! mkitaka maendeleo mfanye practice kabisa... ingieni field mpractice sio kujifariji kwa meneno.