Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
Takukuru njooni maeneo ya Kitobo, Buyango na Bwanjai maana itafikia hatua tutakosa mgombea mzuri na hapo ndo itakuwa mwanzo wa kulipoteza jimbo.
Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu
Wewe daktari wa binadamu mwenye Elimu ya AMO na wewe balozi Uliyekuwa mbunge msimu ulioisha pia na wewe sijui uliyekuwa mkuu wa Wilaya ya kibaha punguzeni hiyo michezo la sivyo mtakipaka chama chetu matope bila sababu