na vitoto pia........
Sio inatokuja...inayokuja.Usikurupuke1983 standard threena hilo shairi sijalisahau mpaka leo,hadithi inatokuja...
mmmhhhhh!
Na wewe umekurupushwa?Sio inatokuja...inayokuja.Usikurupuke
nafanya vitu vingi sana mpenzi,au unataka nikutongoze..........................
Na wewe umekurupushwa?
Umenena mkuu,, hapo maticha wote wametoka jkt 1993
humu kuna watu wazima duh!!!!!!!
Jf na iheshimiwe kwakweli.......
Duh umenikumbusha mbali 2005 darasani la 4 c sungura nouma.
Utoto noma. Eti mi nilikuwa namwonea huruma huyo sungura kishenzi, mpaka machozi yanataka kunitoka. Teh teh!