komba Natale
Senior Member
- Feb 17, 2018
- 113
- 101
Kampeni yao ya #MeeToo labda ndo imemtoa mafichoni. Ila hapo kwenye picha anaonekana kabisa anamtamani RonaldoWengine wanatafuta nafasi hata wabakwe na cristiano roho zao zisuuzike.
Sura yake tu hapo inaonesha anamtamani cristiano. Na alikua wapi miaka yote hiyo. Kama anamsingizia kaka wa watu hatua kali zichukuliwe juu yake
Me too my foot. Usikute yeye ndio mbakaji maana wanawake nao wanabaka.Kampeni yao ya #MeeToo labda ndo imemtoa mafichoni. Ila hapo kwenye picha anaonekana kabisa anamtamani Ronaldo
Huyo hata ziwa hakushikwa Na Ronaldo anataka Kik tuuMe too my foot. Usikute yeye ndio mbakaji maana wanawake nao wanabaka.
Tangu cristiano aondoke Spain wanamuwekea zengwe tu. Lakini watashindwa
Kwani alilazimishwa amuuze? Si angemuongezea mpunga jamaa akaendelea kuwapa huduma yakeMimi mwenyewe nahisi utakuwa mchezo wa Rais wa Madrid Perez, inasemekana jamaa mafia, inaoneka kamaindi Ronaldo kuhama Madrid , kwani tangu jamaa aondoke kuanzia Madrid mpaka La liga mapato yameshuka na hata kiwango cha Madrid kimeporomoka, kwani ni ngumu kumpata mchezaji atakayekupa uhakika wa kufunga magoli 40+ kwa msimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masharti ya Freemason hayoo
Acha kuichafua timu yangu, CR7 apambane tu na hali yakeMimi mwenyewe nahisi utakuwa mchezo wa Rais wa Madrid Perez, inasemekana jamaa mafia, inaoneka kamaindi Ronaldo kuhama Madrid , kwani tangu jamaa aondoke kuanzia Madrid mpaka La liga mapato yameshuka na hata kiwango cha Madrid kimeporomoka, kwani ni ngumu kumpata mchezaji atakayekupa uhakika wa kufunga magoli 40+ kwa msimu.
Sijaichafua tim ya mtu bali rumors kutoka ktk vyombo vya habari vya ulaya na ukiangalia hata Madrid mnapumulia mipira mechi tatu mmepigwa mbili moja mmesuluhu na bado mtadrop sana kwani hamna mchezaji, atakayewapa idadi ya goli kama Ronaldo na mnasafari ndefu kuliziba pengo lake, mnagongwa mpaka na CSK Moscow na Sevilla ilikuwa chupu chupu mle tano.Acha kuichafua timu yangu, CR7 apambane tu na hali yake
Anataka pesa za bureHuyo hata ziwa hakushikwa Na Ronaldo anataka Kik tuu
Halafu kataka hela ya kutoshaAnataka pesa za bure
Madrid wakikaa vibaya watapita kwenye njia waliopita Liverpool mwaka 2014/2015 baada ya Suarez kuondoka.Sijaichafua tim ya mtu bali rumors kutoka ktk vyombo vya habari vya ulaya na ukiangalia hata Madrid mnapumulia mipira mechi tatu mmepigwa mbili moja mmesuluhu na bado mtadrop sana kwani hamna mchezaji, atakayewapa idadi ya goli kama Ronaldo na mnasafari ndefu kuliziba pengo lake, mnagongwa mpaka na CSK Moscow na Sevilla ilikuwa chupu chupu mle tano.
Anataka atumie hii kashfa ya jamaa kutoka kimaishaHalafu kataka hela ya kutosha
Sijaziona katika mainstream media, kwa suala la Madrid tuko kwenye kipindi cha mpito hatutaki kuharibu pesa, duniani kwasasa mastraika wengi wazuri wako above 28yrs of age. Perezi anataka kutengeneza timu ya vijana zaidi.Sijaichafua tim ya mtu bali rumors kutoka ktk vyombo vya habari vya ulaya na ukiangalia hata Madrid mnapumulia mipira mechi tatu mmepigwa mbili moja mmesuluhu na bado mtadrop sana kwani hamna mchezaji, atakayewapa idadi ya goli kama Ronaldo na mnasafari ndefu kuliziba pengo lake, mnagongwa mpaka na CSK Moscow na Sevilla ilikuwa chupu chupu mle tano.
Perez sio mvumilivu, ktk kipindi cha miaka kumi vipaji vilivyo ibuliwa na Madrid ni Isco na Asensio na ndio maana hamna timu yenye matumizi makubwa kama Madrid,kidogo kipindi cha Zidane hawakuongeza watu.Sijaziona katika mainstream media, kwa suala la Madrid tuko kwenye kipindi cha mpito hatutaki kuharibu pesa, duniani kwasasa mastraika wengi wazuri wako above 28yrs of age. Perezi anataka kutengeneza timu ya vijana zaidi.
Cr7 aliondoka kwa mapenzi yake na hata Madrid hawana kinyongo nae! Aliondoka Beckham ambaye alikuwa anaiingizia timu pesa mingi, Aliondoka Redond akiwa katika ubora wake na timu bado ipo
Japo mm si mshabiki WA Christian Ronaldo lkn nimesikitishwa na tuhuma za ubakaji zinazomkabili, najiuliza maswal mengi supastaa km Ronaldo anaanzaje Kubaka ?
Na Walikuwa wap kumfungulia Kesi miaka Yote hyo iliyopita
Kweli tena mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]