Skendo ya Ronaldo

Skendo ya Ronaldo

Ahahahhahaahha sasa alifaidi lakini ona akiwin analipwa pesa mingi


Anadai Ronaldo alishamlipa pesa nyingi kumziba mdomo. Lakini kaamua kuja kivingine, na wataalamu wa kesi hizi wanasema kama kweli alimlipa pesa, hii inaweza kutumika kama ushahidi juu yake. Uombe sakata kama hili lisimkute hata mtu wako wa karibu, noma sana
 
Wabongo wanapenda kufanya hisia zao ndio fact, ni vipi Real Madrid wanahusika na kesi ya Cristiano?

Kesi ya Ronaldo ni yake mwenyewe nje ya michezo. Huyu dada amethibisha kwamba aliwahi kupokea pesa kutoka kwa Cristiano ili kumfunga mdomo. Na wanaosema alikuwa wapi miaka yote, Bill Cosby kafungwa jela kwa kesi ya ubakaji ya miaka 30 iliyopita.


Ronaldo ana jopo la wanasheria waliokwenda shule, hapa blah blah haitasaidia kitu. Acha sheria ichukue mkondo
Miaka 14 bana sio 30, punguza chumvi
 
Madrid inakufaaa...Spain mapato ya meshi yanashukaa kwa kasii... Sasa unategemea Ronaldo atabaki salamaa..!! Kimsingi ronaldo anatengenezewa kesii ilimradi tu Wamuangusheee
 
Ronaldo sio mtu wa kulia kulia shida hahaha
Najua jamaa ni fighter, ila kumbuka yy Ronaldo ndiye anayeibeba brand ya CR7, sasa ukimchafulia yy unamwaribia mpaka biashara zake. Sasa kama leo eti mwanasheria wa yule binti anataka kuwahoji ma ex wa Ronaldo, ili iweje huu upuuzi tu wa kumwaribia jamaa, sababu tu ya kupata umaarufu.
 
Anadai Ronaldo alishamlipa pesa nyingi kumziba mdomo. Lakini kaamua kuja kivingine, na wataalamu wa kesi hizi wanasema kama kweli alimlipa pesa, hii inaweza kutumika kama ushahidi juu yake. Uombe sakata kama hili lisimkute hata mtu wako wa karibu, noma sana
Maskini pole zake
 
you tube zipo videos zinazoelezea kiundani zaid juu ya kashafa hiyo inayomuandama Ronaldo.Nimesikitishwa sana na habari ya skendo hii na mbaya zaid inasemekana jamaa alimla 0713
 
Back
Top Bottom