Skendo ya Ronaldo

Skendo ya Ronaldo

Vipi keshaanza kuwa kinyume na dunia nini mana dunia ina wenyewe mkisjakubaliana halafu ukaanza kukengeuka lazima wakuandame at last watakufyekeleaaa mbali
 
Labda anamaanisha aliingiliwa bila kuandaliwa;na pia wengine wanatafuta majina kwa watu maarufu kwa kuwa sheria inawalinda
 
Kuna demu jingine booonge kinoma lilisema Usher raymond kalibaka!!... najua tuu huyo anataka pesa tu kutoka kwa cr7..
wazungu wana fitna sana kuliko haji manara...
 
Na ikija kuthibitika ni uongo, watakuwa wamemzidishia heshima zaidi na mafanikio zaidi. Dunia itamwangalia kwa jicho la huruma kwa magumu aliyopitia, na hapo ndiyo atavuma haswa
 
Watu wengi hua hawajui! WAZUNGU HUA NI WAOGA SANA KUTONGOZA WANAWAKE! WENYE UJASIRI NI WACHACHE! USIKUTE KWELI ALIBAKA!
 
Mimi mwenyewe nahisi utakuwa mchezo wa Rais wa Madrid Perez, inasemekana jamaa mafia, inaoneka kamaindi Ronaldo kuhama Madrid , kwani tangu jamaa aondoke kuanzia Madrid mpaka La liga mapato yameshuka na hata kiwango cha Madrid kimeporomoka, kwani ni ngumu kumpata mchezaji atakayekupa uhakika wa kufunga magoli 40+ kwa msimu.
Upumbavu wao wenyewe na viburi vyao Ronaldo alitaka mkataba wake uboreshwe na alipwe vizur ikiwemo kupewa mkataba wa muda mrefu naona walimdharau bila kujua madhara yake

Sasa Leo hii ligi yao inazid kupoteza umaarufu na watazamaji wanahamia Italia kumfuatilia kipenz chao. Huku ligi ya italia thamani yake imepanda na inaanza kutazamwa zaid duniani
 
Delila & Samson; rejea yule mzee-mfaransa wa IMF,rejea yule dada porn star wa US n.k cha muhimu mnapokutana na mtu ni kuwa makini,anaweza akakurekodi/akakupiga picha baadaye akafanya dili la kibiashara ;kwa kifupi huyo binti hajabakwa,kama amebakwa asingesikilizia utam..u angepiga kelele waokozi waje
 
Wabongo wanapenda kufanya hisia zao ndio fact, ni vipi Real Madrid wanahusika na kesi ya Cristiano?

Kesi ya Ronaldo ni yake mwenyewe nje ya michezo. Huyu dada amethibisha kwamba aliwahi kupokea pesa kutoka kwa Cristiano ili kumfunga mdomo. Na wanaosema alikuwa wapi miaka yote, Bill Cosby kafungwa jela kwa kesi ya ubakaji ya miaka 30 iliyopita.


Ronaldo ana jopo la wanasheria waliokwenda shule, hapa blah blah haitasaidia kitu. Acha sheria ichukue mkondo
 
Kwani alilazimishwa amuuze? Si angemuongezea mpunga jamaa akaendelea kuwapa huduma yake

Hakujua kama itakuja kuleta impact hii, kuna maneno Dada wa Ronaldo aliyatamka baada ya CR7 kukosa tuzo, naanza kuyaelewa.
 
mwenye hiyo taarifa aiweke hapa tafadhali
Mkuu si ndo hiyo hapo unayoiona. Anatuhumiwa kumbaka mwanamke ambaye kwa sasa ana 34 yrs mwaka 2009 huko Marekani. Kesi ilifikishwa kwa police hukohuko marekan ambao waliona Ronaldo hakuwa na hatia yoyote na ikaisha.

Ila sasa imeibuka upya na ronaldo anapaswa kujibu shutuma hizo upya.

Habari zaidi fuatilia vyombo vya habari kama goal.com, skysports, bbc vyote vinatoa hii habari
 
ingekuwa siasa mngesema messi kamchezea mchezo mchafu
 
Ronaldo hata akikubaka ni kama umesafisha nyota,,sema pesa hizii bana
 
Ronaldo hata akikubaka ni kama umesafisha nyota,,sema pesa hizii bana


Story za yule dada umeziumezisikia? Kasema Ronaldo alimuinamisha kwa nguvu akampa nao wa nyuma. Kama kusafisha nyota ndio hivyo, poleni wahusika.
 
Story za yule dada umeziumezisikia? Kasema Ronaldo alimuinamisha kwa nguvu akampa nao wa nyuma. Kama kusafisha nyota ndio hivyo, poleni wahusika.
Ahahahhahaahha sasa alifaidi lakini ona akiwin analipwa pesa mingi
 
Back
Top Bottom