Skendo ya Ronaldo

Ahahahhahaahha sasa alifaidi lakini ona akiwin analipwa pesa mingi


Anadai Ronaldo alishamlipa pesa nyingi kumziba mdomo. Lakini kaamua kuja kivingine, na wataalamu wa kesi hizi wanasema kama kweli alimlipa pesa, hii inaweza kutumika kama ushahidi juu yake. Uombe sakata kama hili lisimkute hata mtu wako wa karibu, noma sana
 
Miaka 14 bana sio 30, punguza chumvi
 
Madrid inakufaaa...Spain mapato ya meshi yanashukaa kwa kasii... Sasa unategemea Ronaldo atabaki salamaa..!! Kimsingi ronaldo anatengenezewa kesii ilimradi tu Wamuangusheee
 
Ronaldo sio mtu wa kulia kulia shida hahaha
Najua jamaa ni fighter, ila kumbuka yy Ronaldo ndiye anayeibeba brand ya CR7, sasa ukimchafulia yy unamwaribia mpaka biashara zake. Sasa kama leo eti mwanasheria wa yule binti anataka kuwahoji ma ex wa Ronaldo, ili iweje huu upuuzi tu wa kumwaribia jamaa, sababu tu ya kupata umaarufu.
 
Maskini pole zake
 
you tube zipo videos zinazoelezea kiundani zaid juu ya kashafa hiyo inayomuandama Ronaldo.Nimesikitishwa sana na habari ya skendo hii na mbaya zaid inasemekana jamaa alimla 0713
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…