Skendo ya ushoga yamtafuna Hakika Ruben baada ya video zake kuvuja

Skendo ya ushoga yamtafuna Hakika Ruben baada ya video zake kuvuja

Mnatengeneza taharuki isiyokuwepo.

Mashoga ni wachache sana na hawana hiyo athari mnayoijenga kwenye akili za watu.

Huku ni kutengeneza JINI ambalo halipo kiuhalisia. Lipo vichwani mwenu tu.
Taharuk wakati watu wanajitangaza wenyewe, mkuu ivi umesoma vizuri ulichoandika, we unadhani mpaka serikali imekataza watoto kuanzia la kwanza mpaka la nne kutokukaa boarding ni nini unadhani rahisi, sio poa ujue hatari sanaaa
 
Njia za bwana sio kama za binadamu
Mungu hajawahi kuhukumu ndio maana mashoga wanazidi kupeta.

Wanaoteseka ni watu wenye magonjwa ya sonona pamoja na hasira zisizo na maelezo.

Unawezaje KUMFOKEA mtu anapoamua kutumia tiGo yake?
 
unadhani mpaka serikali imekataza watoto kuanzia la kwanza mpaka la nne kutokukaa boarding ni nin

Nipe WARAKA uliotoa hilo KATAZO ili nione sababu walizoainisha.

Hatuwezi kujenga hoja kama waganga wa kienyeji.

Waraka umeeleza sababu zote za msingi, na kati ya hizo sijaona ushoga kuwa mojawapo.

Kama una maelezo kinzani na haya, thibitisha na unipatie WARAKA uliotoa KATAZO.
 
Nipe WARAKA uliotoa hilo KATAZO ili nione sababu walizoainisha.

Hatuwezi kujenga hoja kama waganga wa kienyeji.

Waraka umeeleza sababu zote za msingi, na kati ya hizo sijaona ushoga kuwa mojawapo.

Kama una maelezo kinzani na haya, thibitisha na unipatie WARAKA uliotoa KATAZO.
Mkuu waraka sina ila niliona kwenye taarifa ya habari kwan we upo nchi gani mkuu? Au mkoa gani? Kama upo namtumbo mashoga huwez kuwaona ila daslama kudadek yamejaa, toka huko bush njoo mjin mzee
 
Kuna mtu anasema mashoga hawapo aisee... Na hili lililojisema lenyewe limeliwa?
 
SKENDO CHAFU YAMTAFUNA HAKIKA RUBEN, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WAMTAKA AREJEE KWA MUNGU.

Mitandao ya kijamii imeibuka kwa kasi nchini Tanzania na imechukua sura mpya kwa watu tofauti ambapo wapo wanaoichukulia kama fulsa ya kujipatia kipato kwa kuuza na kuzitangaza kazi zao, wapo wanaoitumia kama sehemu ya starehe kutuliza mawazo yao lakini pia imekuwa ni darasa huru kwa kila Mtanzania kwani kwa kuzingatia sheria tu unaweza kufanya chochote isipokuwa usivuke mipaka.

Hakika Ruben kutoka Iringa ni miongoni mwa wachekeshaji ambao walianza vizuri na mpaka sasa wanafanya vizuri, kutokana na aina yake ya uchekeshaji amejikuta anakuwa kivutio kwa watu wengi na kujipatia mashabiki rukuki, ambapo kwenye mtandao wake wa Instagram bado kidogo akifikishe wafwasi milioni moja, hii inaonyesha ni kwa kiasi gani jamii inamkubali.

Lakini tangu wiki hii ianze kumekuwa na video inayosambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha Hakika akiwa live na wenzake kwenye mtandao wa TikTok ambapo kuna maneno yasiyo na hekima alikuwa anayaongea, kwenye maneno hayo alikuwa anajitambulisha kama mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja kwa kumgombania mwanaume mwenzao yeye na mwenzake.

Kutokana na CV ya Hakika na heshima kubwa aliyoitengeneza Watanzania wengi wameonyesha kuchukizwa na kitendo hicho cha kishetani huku wengi wakimtukana na kumtaka arejee kwa Mungu wake aombe msamaha. Yote tisa, kumi mjadala huo umefika hadi nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanahabari wameonyesha kukemea kitendo hicho na kuwaasa wazazi kuwaweka mbali watoto wao na mtandao wa Tiktok kwani si salama kwa watoto maana umekuwa kama uwanja wa kuhamasisha na kujifunza ngono.

Hata hivyo licha ya kuitwa Polisi, Hakika mwenyewe ameonyesha kutokujali kwani licha ya watu kumuomba abadirike bado ameendelea kuposti video za kujitangaza zaidi kuwa ni muhusika wa mambo hayo huku akifunga sehemu ya komenti kuwazuia watu wasiandike chochote.

View attachment 2544036
Uwa mda mwingine nashindwa kukuelewa bwashee, wewe unasema skendo mara skendo hiyo inamtafuna!

Pia unasema ni yeye anaendelea kujitangaza upitia TikTok, it means anafurahia anacho kifanya,sasa mbona unasema ni skendo wakati ni kweli
 
Kambi? Unamlisha?

Halafu ni KUDHALILISHA, sio KUZALILISHA.
Naelewa ni kudhalilisha
Na niliona hilo kwanzia nina type, ila kusave muda maana nilikuwa ninajibu comment isiyo na mantiki niliopt for two letters -z-a- badala ya three -d-h-a- kuokoa muda wangu maana kwanza haya maongezi sio rasmi kwaiyo usidhani kwamba nina Kiswahili kibovu namna hiyo.
Hata kama simlishi ila hata riziki anazozipata nyingi anazipata chini ya title ya kambi yetu kwamba ni mwanaume. Jina lenyewe analotambulika nalo kwenye jamii lipo chini ya kambi ya uanaume. Boo alilonalo, nk
Kama anahitaji hizo haki akalitoe abadilishe na jinsia, abadilishe jina ajiite hata Dada Bichwa Komwe hapo sitakuwa na issue nae.
 
Nipe WARAKA uliotoa hilo KATAZO ili nione sababu walizoainisha.

Hatuwezi kujenga hoja kama waganga wa kienyeji.

Waraka umeeleza sababu zote za msingi, na kati ya hizo sijaona ushoga kuwa mojawapo.

Kama una maelezo kinzani na haya, thibitisha na unipatie WARAKA uliotoa KATAZO.
Mkuu mtu anajitangaza yeye mwenyewe anakazwa na wanaume mimi kweli ntapinga hilo? Sisi hatupend hivyo vitendo ila ndio ivyo tena wanaume wenzetu mikundu inawapwita na wana backup ya mabeberu... Kwan mkuu hukuona vitabu vilivyokatazwa mashuleni umeona content za ndani ngoja nitafute nikiweza kuatach ntaatach, agenda ya machoko ni kubwa mkuu
 

Attachments

  • IMG-20230117-WA0088.jpg
    IMG-20230117-WA0088.jpg
    43.4 KB · Views: 10
  • IMG-20230214-WA0023.jpg
    IMG-20230214-WA0023.jpg
    127.2 KB · Views: 9
  • IMG-20230214-WA0019.jpg
    IMG-20230214-WA0019.jpg
    68.8 KB · Views: 9
  • IMG-20230214-WA0018.jpg
    IMG-20230214-WA0018.jpg
    87.4 KB · Views: 9
  • IMG-20230214-WA0021.jpg
    IMG-20230214-WA0021.jpg
    24.3 KB · Views: 9
  • IMG-20230214-WA0020.jpg
    IMG-20230214-WA0020.jpg
    158.3 KB · Views: 8
  • IMG-20230214-WA0016.jpg
    IMG-20230214-WA0016.jpg
    47.7 KB · Views: 9
Some time saa mbovu Huwa inasema kweli.Dudu baya aliwataja hadharani Kwa kuwa anawajuwa vizuri Tena ni watu maarufu watu wakamshambulia eti anawachafua watu.Sasa ma rolel model wenu ndo wanapakuliwa.
 
Haiumiizi chochote,, jitu kubwa zima nyapu zote hizi zilizojaa hizi za free boti ye linataka lifilweh yeye,,, liache tu lifilweh qum@nduguzake [emoji35]
Jamaa hatukupata jicho la ndani la kumtazama vyema..baada ya kuona ile video chafu na kutazama video zake vyema(comedy) huyu jamaa ni pro, inaonesha ameanza siku nyingi.
 
Ku
Mkuu mtu anajitangaza yeye mwenyewe anakazwa na wanaume mimi kweli ntapinga hilo? Sisi hatupend hivyo vitendo ila ndio ivyo tena wanaume wenzetu mikundu inawapwita na wana backup ya mabeberu... Kwan mkuu hukuona vitabu vilivyokatazwa mashuleni umeona content za ndani ngoja nitafute nikiweza kuatach ntaatach, agenda ya machoko ni kubwa mkuu
mbe hizo ndo content😂😂😂
 
Back
Top Bottom