Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Sasa wew unazungumzia uminywaji wa haki za binaadamuHawa ni wa kufinya kimya kimya. Basi tu sina uwezo huo. Nyakati hizi ambapo ushoga ni kitu cha kawaida.
Hivi mnakumbuka enzi za jpm hawa wapuuzi walikuwa hawajitangazi? Embu niambie ni watu wangapi wanamfollow?
Hivi ikipita ka operation tokomeza mashoga na wasagaji si inaweza kusaidia.
Mimi naumia sababu nilimuona mtoto mdogo wa kiume amelawitiwa nyie ungetoa machozi.
Asante sana jeshi la polisi walimkamata muhusika yupo ndani.
Maskini kizazi kijacho!!!
Bei ngapiuna hela mheshimiwa?? naiuza[emoji3]
Ithibati mtaniWa nini mtani?
kwa waigizaji, huwa sipendi kuhukumu hadi ushahidi upatikane. Joti amekuwa akiigiza kama mwanamke kwa kuvaa wigi na gauni, lakini mambo yanaenda tu. Kimtokacho mtu rohoni ndicho kinachomtia najisi... kwenye maneno hayo alikuwa anajitambulisha kama mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja kwa kumgombania mwanaume mwenzao yeye na mwenzake.
Mwenyewe ndio nasikia leo. Kumbe Tanzania kuna watu maarufu wengi kiasi hiki.Hili jina ndio nalisikia leo.
Ndio yanachukua nafasi zenu hivyo!Eeeh!mnatuchosha nyie wanaume
Yaani Ni hatari kwa future generations...Ndio yanachukua nafasi zenu hivyo!
Muandamane sasa mijitu isiyojitambua inachukia haki yenu mliyopewa na Mungu!Yaani Ni hatari kwa future generations...
Tangu siku ya kwanza naona clip yake kuna kundi fulani nikawaambia watu huyu jamaa ana ushoga na lazima analiwa...
Watanzania hamna exposure ya mambo mengi, ila kuna wasanii na watu maarufu wengi sana ni mashoga, nivile hamuwez kusoma matendo yao, ongea yao na ishara zao...
Hii inawezekana mkuu, sijui tufiche wapi watoto wetu dah[emoji24]Nafikri kuna taasisi au mtu analipa watu maarufu kama Hakika Rub wasambaze hizo habari ili kufikia watu wengi.
Lakini wao(wasanii) hawafanyi bali ni njia tu ya kusambaza ili jamii ione ni jambo la kawaida.
Solution: Hizi habari ni za kupuuza ili kusaidia jamii. Haina haja ya viongozi wakubwa wa dini au serikali kutoa kauli za misimamo au kukemea, kufanya hivyo ni kuzidi kupromote huo ushoga.
Ili kumaliza nguvu ya ushoga la kufanya ni kuupuuza nao utakuwa dhaifu.
Na mpaka sasa kundi hili ovu la UTETEZI linaongoza sjui tunaenda wapi.Utu upo wapi ?
Ubinadamu upo wapi ?
Utanzania na uzalendo upo wapi?
Video ipo wapi?
Screenshot ya alivyopost Iko wapi?
Toka kitambo sina imani na huyo mchele mchele hatimaye leo yametimia.watetezi wanakusanya nguvu ya kuja kutetea tabia Yao ovu mleta mada kaza mkanda
Hata wewe[emoji1783][emoji1783][emoji1783]Nazi ipo , mwenye connection atufanyie wepesi
Mwanaume unakuaje sio mtu wa mademu? Kua na mademu ni natural kwa mwanaume. Ukiona mwanaume hapendi wanawake ujue anapenda wanaume wenzie.Ukiwa sio mtu wa mademu unaitwa shoga.
Jiwe alikuwa ni mwamba.Hawa ni wa kufinya kimya kimya. Basi tu sina uwezo huo. Nyakati hizi ambapo ushoga ni kitu cha kawaida.
Hivi mnakumbuka enzi za jpm hawa wapuuzi walikuwa hawajitangazi? Embu niambie ni watu wangapi wanamfollow?
Hivi ikipita ka operation tokomeza mashoga na wasagaji si inaweza kusaidia.
Mimi naumia sababu nilimuona mtoto mdogo wa kiume amelawitiwa nyie ungetoa machozi.
Asante sana jeshi la polisi walimkamata muhusika yupo ndani.
Maskini kizazi kijacho!!!
Mapya yapo.Hakuna jipya chini ya jua.