🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sizipendi zile nikivaa nakua kama njiwa chembambaa😀 kimbilio ni skert blanket tu😃
Ah wee nyie viportable ndio wife material bwana hawa wavaa leggings na biker shorts ni wa hamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sizipendi zile nikivaa nakua kama njiwa chembambaa😀 kimbilio ni skert blanket tu😃
Niko chini ya miguu yako tafadhali,nasubiri kuonapencil hii ya kuchorea au
Acha hizo basi punguza maneno hayoNiko chini ya miguu yako tafadhali,nasubiri kuona
Wanawake mnajuana wenyewe sheikh wangu. Mi hata sijaelewa kitu hapo.Wanawake hoyeeeee, Wanawake juuu!
Tupeni siri ya sketi za penseli jamani, yaani mimi huwa napenda sana mwanamke akivaa sketi ya penseli. Sijui kwanini.
Kipindi hicho wakati nilipokuwa mdogo ndio naanza mapenzi na wifi yenu nilikuwa namwambia kila appointment yetu akija gheto basi awe amevaa sketi ya penseli isivuke magoti na ukizingatia avivyojaliwa shepu daaaaaah.
Hadi leo hii nikimkuta mdada amevaa sketi ya penseli haswa baa au sehemu yeyote huwa namchangamkia sana na nampa hadi tipu.
Ukitaka kujua utamu wa sketi ya penseli ukipishana na mdada ambaye mguu ni mashallah, basi wewe geuka nyuma angalia kale kampasuo pamoja na zile dimpoz za miguu.
Hongereni sana wadada mnaovaa penseli. Huwa mnanivutia sana.
View attachment 3152397
Mada bila picha ni umbea.
Sawa napunguzaAcha hizo basi punguza maneno hayo
Hili neno lina maana gani kijana?mzee hautulii kabisa
una masuria wangapi?
wachumbaHili neno lina maana gani kijana?
🤣
Binti yangu huyo kijanawachumba
Daah!🤣Wanawake mnajuana wenyewe sheikh wangu. Mi hata sijaelewa kitu hapo.
Mwanaume badala usifie kazi za mikono yako unasifia mwanamke, you are typical idiot.Wanawake hoyeeeee, Wanawake juuu!
Tupeni siri ya sketi za penseli jamani, yaani mimi huwa napenda sana mwanamke akivaa sketi ya penseli. Sijui kwanini.
Kipindi hicho wakati nilipokuwa mdogo ndio naanza mapenzi na wifi yenu nilikuwa namwambia kila appointment yetu akija gheto basi awe amevaa sketi ya penseli isivuke magoti na ukizingatia avivyojaliwa shepu daaaaaah.
Hadi leo hii nikimkuta mdada amevaa sketi ya penseli haswa baa au sehemu yeyote huwa namchangamkia sana na nampa hadi tipu.
Ukitaka kujua utamu wa sketi ya penseli ukipishana na mdada ambaye mguu ni mashallah, basi wewe geuka nyuma angalia kale kampasuo pamoja na zile dimpoz za miguu.
Hongereni sana wadada mnaovaa penseli. Huwa mnanivutia sana.
View attachment 3152397
Mada bila picha ni umbea.
Umenichekesha baada ya kukumbuka balaa la msichana mfupi mwaka 2016. Tangu siku hiyo sitaki kudate na wafupi.Wafupi sana sina vibe nao, coz mi mrefu.
😅😅😅😅Umenichekesha baada ya kukumbuka balaa la msichana mfupi mwaka 2016. Tangu siku hiyo sitaki kudate na wafupi.
😅😅😅😅😅😅😅 eti wanawake oyeeeee, kama kadaMwanaume badala usifie kazi za mikono yako unasifia mwanamke, you are typical idiot.
Zile hazimkatai mtu labda awe na manyama uzembe.Kumbeee....ah kipimo sahii kwa mwanamke na msambanda ni leggings na zile biker shorts
Ah kwa hiyo ata wewe una miliki moja au sioZile hazimkatai mtu labda awe na manyama uzembe.