PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
Hivi ukikutana na isha mashauzi utamshauri nini kuhusu kuvaa skini jeans
Tatizo sio skin jeans, tatizo ni umbile!Hivi ukikutana na isha mashauzi utamshauri nini kuhusu kuvaa skini jeans
Raha ya jinsi ikupendeze usiwe na kitambi, ukiwa na kitambi ni kama zigo liko mbele!Hivi ukikutana na isha mashauzi utamshauri nini kuhusu kuvaa skini jeans
Ina maana Anko Ngassa Mrisho Khalfan ndo Anakamua huu mzigo?Naamini huyu Mchezaji ambaye alichezea Klabu Bingwa isiyo na Hela sasa, akaenda kwa Wauza Ice Cream, akaja kuichezea Klabu ambayo leo hii Viongozi wake wananyea ' debe ' Segerea kisha akaenda Afrika ya Kusini, akatoka na kwenda Klabu moja hivi ya Yemen kama siyo Oman na sasa yupo katika Klabu ya ' Wambeya ' ama hakika anapata ' raha ' sana pindi Skin Jeans hiyo ikivuliwa na kutundikwa katika ' msumari '.
We usitutanie bhana khaaaAmependeza
Ina maana Anko Ngassa Mrisho Khalfan ndo Anakamua huu mzigo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ukikutana na isha mashauzi utamshauri nini kuhusu kuvaa skini jeans
unamaanisha aliyekula papuchi?Naamini huyu Mchezaji ambaye alichezea Klabu Bingwa isiyo na Hela sasa, akaenda kwa Wauza Ice Cream, akaja kuichezea Klabu ambayo leo hii Viongozi wake wananyea ' debe ' Segerea kisha akaenda Afrika ya Kusini, akatoka na kwenda Klabu moja hivi ya Yemen kama siyo Oman na sasa yupo katika Klabu ya ' Wambeya ' ama hakika anapata ' raha ' sana pindi Skin Jeans hiyo ikivuliwa na kutundikwa katika ' msumari '.