McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Kasimamia mikono au maana naona kama kapiga sarakasi vile [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀😀. Skinny jeans ina raha kama huna kitambiViache vitamu vionekane mkuu
Wanawake wa Dar hawaionei huruma mwili yao ndicho nilichojifunzaHivi ukikutana na isha mashauzi utamshauri nini kuhusu kuvaa skini jeans
![]()
Mkuu unajua Kuchimbua chimbua mambo.Hivi ukikutana na isha mashauzi utamshauri nini kuhusu kuvaa skini jeans
![]()
Mkuu uko online!?..salute kwakoAaache kuvaa skin jeans avae nguo nyingine nzuri
salute na kwako pia kwa kuwa onlineMkuu uko online!?..salute kwako
[emoji1] [emoji1]Jike la simbaaa nampenda sana isha nyimbo zake tamu umbile sio roho
Naamini huyu Mchezaji ambaye alichezea Klabu Bingwa isiyo na Hela sasa, akaenda kwa Wauza Ice Cream, akaja kuichezea Klabu ambayo leo hii Viongozi wake wananyea ' debe ' Segerea kisha akaenda Afrika ya Kusini, akatoka na kwenda Klabu moja hivi ya Yemen kama siyo Oman na sasa yupo katika Klabu ya ' Wambeya ' ama hakika anapata ' raha ' sana pindi Skin Jeans hiyo ikivuliwa na kutundikwa katika ' msumari '.