SKONGA: Kipindi 'kinachovua nguo' wanafunzi

Yaani maisha ya kiuanafunzi yamebadilika

Ila shule za serilaki ndio mbaya zaidi bora hizi za binafsi kidogo

Enzi zile mwanafunzi labda hatukuwa na distractions, no tv, radio yano rtd pekee

Kilichobaki ni masomo tu

Na juzi kati Mulugo ameruhusu rasmi simu kwa kutoa kauli ya kisiasa"wananchi hawakutuelewa tulipozuia simu mashuleni, tulichokataza ni mwanafunzi kutumia simu darasani lakini akitoka nje ni rukusa kutumia simu kwa mawasiliano na wazazi",
 
Vipindi vya burudani na miziki kwenye TV za Taifa ziwe baada ya saa tatu usiku. Masaa yaliyobaki viwe vipindi vya shule na dokyumentari zinazofundisha.

Watu 19 wame "LIKE" comment yako LAKINI napingana
Na hilo. Kwani Parental Guidance (PG) ipo kwa ajili gani? Weka PASSWORD kwenye hizo channels ili wasione, ingawa hata simu uwanyang'anye maana FACEBOOK itakula muda wao wa kusoma. Nina hakika 100% Hakuna TV Station itakayofanyia kazi ushauri wako kwahio DAWA ni password kwenye hizo channels.
 

Hilo nalo neno.
 
Mimi naona kipindi cha skonga hakina tatizo lolote! muda ukifika tutapitiliza hata mahali ambapo tuko sasa!
 
Na juzi kati Mulugo ameruhusu rasmi simu kwa kutoa kauli ya kisiasa"wananchi hawakutuelewa tulipozuia simu mashuleni, tulichokataza ni mwanafunzi kutumia simu darasani lakini akitoka nje ni rukusa kutumia simu kwa mawasiliano na wazazi",

Hii ni fungulia mbwa. Darasani ni kumsikiliza mwalimu. Nje ya darasa ni wakati wa kujikumbushia uliyopewa na mwalimu huku ukipumzika kiasi. Waziri atakuja kujutia kauli yake
 

kumbe hata ndani ya chama chenu mnanangana? Nyerere alikuwa akiwaandaa kuwa watu wa kujitegemea, sio kumtegemea janita. Kama hamkutaka kufagia basi mngekataa na practical za laboratory. Sipati picha kipindi che Nyerere mlimchukiaje.
 
Last edited by a moderator:

Kweli anafaa kusifiwa kwa kuporomosha kiwango cha elimu!!
Angalia hapa chini:
MATOKEO YA KIDATU CHA NNE:
Mwaka JUMLA YA WATAHINIWA WALIOPATA DARAJA 0 % YA WALIOFELI
2009 ............238,581 .................65,708 .......................................26.46

2010 ........... 351,598 .............. 174,407 ........................................50.00

2011 ...........336,301...............156,085 ...................................... 46.41[ Mwanaasha Kikwete afeli kidato cha nne]

2012 ............367,750 .............. 240,903 ........................................60.10

Kwa 'trend' hii ya matokeo ya wanafunzi ktk uongozi wa binamu yako JK unategemea nini? Kama hata mwanae tu alishindwa kupenya?? Je kama angeongezewa miaka mingine 10 si itakuwa UNDEFINED DISASTOR?
 
Samahani lakini inaonesha baba'ko alikuwa ana matatizo ya akili, anaoa mpaka Mkwe? poleni sana. Na inaonesha matatizo yake umeyarithi wewe.

Yeah naona umejaribu kutafuta ''point of escape'' kwenye post yangu ila ujumbe umekufikia!! Msimsingizie Mwl Nyerere kwa matatizo mliyojitafutia wenyewe!! Na sasa hasira zenu mmezielekezea kwa Dr Ndalichako!! Kweli mna kazi!!
 
Yeah naona umejaribu kutafuta ''point of escape'' kwenye post yangu ila ujumbe umekufikia!! Msimsingizie Mwl Nyerere kwa matatizo mliyojitafutia wenyewe!! Na sasa hasira zenu mmezielekezea kwa Dr Ndalichako!! Kweli mna kazi!!

Nna uhakika haukuwepo wakati wa nyerere na unachokijuwa chote ni uongo uliojazwa nao kichwani na ukauamini.

Hivi wewe ambae haukuwepo wala hauujuwi ukweli, ninibishane na wewe si kama nabisha na ukuta?

Sisi tunayajuwa madhila yaliyotukuta wakati huo, nashkuru kuwa leo tunaweza kutoa dukuduku letu, wako ambao hawakuwepo wakati huo lakini ni wenye muono na wanaelewa tunachokiongea.

Hebu msome huyu mchungaji umsikie maoni yake kuhusu wakati wa Nyerere (Kingereza kinapanda lakini, au nampigia mbuzi guitar?):

An account of this is from Reverend Christopher Mtikila, National Chairman of the Democratic Party of Tanzania, who opposed Nyerere. He said:
"We experienced a very strange way of living because of the terror campaign with the security officers trained in the communist block. It was terrible. People did not trust anyone, even in the families. Wives would not trust their husbands and vice versa because it was a very severe terror campaign. People would disappear silently and no one would be allowed to think about them because if you are suspected to be thinking treason, then you also disappear. We lived under that repressive regime, I mean, all these years until this guy retired after the failure of Ujama, because we did not achieve all these things. We were made to think about things which were not there and believe they are there. To say otherwise was to say treason. This is the terror campaign which subdued us to the level of livestock, which always live in fear of slaughter anytime."
 

Naona bado hujaelewa unachokibandika, nakueleza hivi; hao waliofaullu kipindi cha Kikwete ni wengi zaidi kuliko wote walioingia Sekondari kipindi chochote cha Nyerere, Mwinyi na Mkapa tena kwa pamoja.

Opss, wale wanafunzi wa Kiislaam waliofelishwa na Ndalichako umewahesabu?

Fanya hesabu zako tena halafu uje kupinga hapa.
 
Hii ni fungulia mbwa. Darasani ni kumsikiliza mwalimu. Nje ya darasa ni wakati wa kujikumbushia uliyopewa na mwalimu huku ukipumzika kiasi. Waziri atakuja kujutia kauli yake

Kimsingi ni kauli ya kisiasa baada ya Vodacom kuzindua program flani jina limenitoka ila inahusisha wanafunzi, akajifanya hawajazuia wanafunzi kuwa na simu wakati miaka yote wanafunzi walikuwa wamezuiliwa na wengi wamekuwa wakipewa suspension, sasa hiyo juzi kati anajifanya walikuwa hawajazuia mwanafunzi kuwa na simu zaidi ya kuzuia kuingia nazo darasani, nilicheka tu kwa kuwa issue ya kutokuingia na simu darasani ni kinakuwa chini ya kanuni za shule hivyo si lazima wizara itoe tamko kwa kuwa inaangukia kwenye zile kanuni za shule kama kutopiga kelele, kuvaa sare za shule n.k. Kuna haja ya ku-control hii issue at least wangefanya majaribio kwa kuruhusu wanafunzi wa kidato cha sita kama pilot ambao at least wameanza kuiona future yao alafu huku O-level waendelee na utaratibu ule ule (kama wanazo simu watumie kwa kujinyima na ukikamatwa sheria za shule zinachukua mkondo wake). Nasema hivyo kwa kuwa kuna kipindi hasa cha mitihani kwa mwanafunzi anatakiwa awe busy na kujiandaa na mitihani na matatizo ya nyumbani hatakiwi kuyajua, mfano anapigiwa simu anaaombiwa mama yake mgonjwa alafu ndio yupo kwenye mitihani ya mwisho si ni dhahama hapa.
 
Hata Mwamedi Mungu amlaze mahali anapostahili kwa kushiriki mauwaji na ubakaji wa vibinti mpaka vyenye miaka 9 tu, shame on him, sijui kama atanusulika na moto wa milele.
 
kumbe hata ndani ya chama chenu mnanangana? Nyerere alikuwa akiwaandaa kuwa watu wa kujitegemea, sio kumtegemea janita. Kama hamkutaka kufagia basi mngekataa na practical za laboratory. Sipati picha kipindi che Nyerere mlimchukiaje.

Imeishia wapi hiyo "kujitegemea"?

Dunia hii lazima kuwe na ma "Janitor", ma Doctor, ma Engineer, hamuwezi kuwa ma "janitor" matokeo yake ndio unaona alipoifikisha nchi Maskini wa mwisho duniani, kila kitu alikiacha hohe hahe alipong'atuka. Janitor akawe Mwalim? Kuli akawe mshauri wa Rais?

Fikiri, mtu kama Songambele ambae hana elimu yoyote ya maana eti Mkuu wa Mkoa halafu Mwenyekiti wa Board ya Tanesco, matokeo yake? umeme anakuja kuurekebisha Kikwete baada ya miaka 50 ya Uhuru.
 
hivi haswa unamuuliza huyo tangapori swali kama hilo? mwenyewe ni kaputi kwenye bongo,na wewe inabidi ukapime
Ni kweli
FaizaFoxy kuwa vipindi vya burudani vimezidi.
Hakuna ubunifu kwenye vipindi vya kuelimisha kwenye tv na redio zetu.

Tangopori huyo alikuwa kidato gani?
 
Last edited by a moderator:
Hata Mwamedi Mungu amlaze mahali anapostahili kwa kushiriki mauwaji na ubakaji wa vibinti mpaka vyenye miaka 9 tu, shame on him, sijui kama atanusulika na moto wa milele.

Kila mtu atalazwa anapostahiki, au wewe utalazwa wapi?
 
Mkuu Matola, hiyo ndio hali halisi na cha msingi ni kuangalia nini kifanyike, tuache siasa kwenye mambo yanayogusa maendeleo ya taifa. Elimu ni nguzo muhimu sana kwenye kuendelea kwa nchi yeyote kwa karne hii.

Enzi hizo wataalamu waliachiwa kufanya kazi zao na chochote watakachofanya wanasiasa waliamini na kukubali kazi ya wataalamu na kwenda kuelimisha wananchi based na mapendekezo ya wataalamu, lakini siku hizi wanasiasa ni wajuaji kiasi kwamba mtu na utaalamu wake anaweza akawa amefanya kitu kama taratibu zinavyotaka lakini ikifika kwa wanasiasa wanapindisha simply becoz wawapendezeshe wananchi (nadhani haya maposho na mishahara wanayojipa ndio imetufikisha hapa kiasi kwamba wanasiasa hawawi wakweli kwa wananchi kwa kuogopa kupigwa chini hivyo wanachofanya ni kuhakikisha wananchi wanaridhika hata kama kuna madhaifu na ndio maana wanakubali kupeleka wanafunzi kusoma ualimu hata kama wamepata Division 4 za karibu na mwisho), anaetakiwa kwenda kusoma ualimu ingepitishwa kabisa apelekwe mtu ambae ana credit at least
 
kumbe hata ndani ya chama chenu mnanangana? Nyerere alikuwa akiwaandaa kuwa watu wa kujitegemea, sio kumtegemea janita. Kama hamkutaka kufagia basi mngekataa na practical za laboratory. Sipati picha kipindi che Nyerere mlimchukiaje.

Muulize FaizaFoxy: Mbona Nyerere alishaondoka siku nyingi lakini shule zao bado ni miongoni mwa zinazoburuza mkia kwa matokeo??
 

You can tell that to the birds!! Hizo hesabu za wanafunzi wa kiislam waliofeli labda unazo wewe tu! Hivi Dr Shukuru Kawmbwa si ndiyo bosi wa Dr Ndalichako? Alikubalije waislamu wenzie wafelishwe? Now get your point, unataka kuniambia na Mwanaasha Kikwete alifelishwa na Dr Ndalichako? Tatizo unaufunika sana ubongo mpaka unashindwa kufanya kazi yake sawasawa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…