Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Nimechelewa mwenzenu ngoja nianze mwanzo. Lol
Duuuhhh AISEE HUYU MWANAMKE COCOCHANEL ,AMEKUKOSEA NINI MKUUU ????
NISABABU MMETOFAUTIANA KTK MITIZAMO YA KISIASA AU ?????
BE A GENTLEMAN BANAH.!!!!!!!.
Ahsante sana mkuu kwa kuliona hilo. Barikiwa sana.HUYU BIBIE NTAFWATILIA INTERVIEW YAKE.
emmyta PIA NTAMFWATILIA HAWA MEMBER NI WASTAARABU SANA.
HUWEZ WAFANANISHA NA cocochanel
Na ww KE kumbe??Ukweli tunaujua mimi nawe
Ya jana huwezi kusoma...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya
Mi narudi kusoma ya jana
Mambo ya specimen[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nimechelewa mwenzenu ngoja nianze mwanzo. Lol
Palee shunie anaposikia leo ni lugha ya ubuyuNimechelewa mwenzenu ngoja nianze mwanzo. Lol
Hakuna kidhungu leo.Hii sio ya kukosa
Afu leo tunatumia lugha yetu pendwa
Hata kunibeep lolMamy niko siti ya mbele kabisa[emoji23] [emoji23]
Asante Numbisa,hii si ya kukosa leo
Wabaya nyieee. Hata kasms mwenzenu niwahi sasa page 11 ndio naanza upya ili niende na mtiririko..Abee
Leo uulize maswali ya msingi bhana4:30
muosha rungu
Karibu sana kijiweni. [emoji23] [emoji23]Huwa sihudhurii kwenye interview ila ya huyu mama aliyestaarabika nishabook tiketi mapema sana
[emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji3][emoji3]
Team Ubuyu...
Hii nayo KE kumbe??[emoji13] [emoji13]Ngoja kwanza Aspirin huyu huyuu babu au ??
Imebaki dakika 1 mgeni aingie ukumbiniKaribu sana kijiweni. [emoji23] [emoji23]