Wanafunzi wangepewa mkopo equevalent to maintance loan ya mwaka mwaka wa mwisho kabla ya ku- graduate kwa makubaliano waurudishe baada ya miaka mitano ninadhani hii ingejenga ajira nyingi mtaaniWahitimu wengi hawana ajira na hawapendi kujishughulisha, mtu anamaliza anawaza ofisi ya kiyoyozi, unahisi shida ni nini? Mfumo wetu wa elimu? Nini kifanyike?
HahaaWaite na masuitors wangu NIYOMBARE na Gentries
Wengi bado tuko njia panda kwenye hili?Ninahudumia watu lakini si fani ya udaktari
Babu umenkumbusha VWAWA aseee [emoji4] zone fulani ivi mpakani pakani na nchi fulaniBabe ukimaliza interview unipitie hapa church nafundisha vijana wa viwawa kwaya....
Mkwe ni who au how? [emoji85] [emoji85] [emoji85]Sky Eclat...
Wewe ni mchangiaji mzuri wa JF Doctors..
Who is this related to your life?
Jomoni!![emoji28][emoji125][emoji125][emoji125]Marahabaaa
Asprin ni mume wa kila mtu, kasoro mimi tu.
Wanafunzi wangepewa mkopo equevalent to maintance loan ya mwaka mwaka wa mwisho kabla ya ku- graduate kwa makubaliano waurudishe baada ya miaka mitano ninadhani hii ingejenga ajira nyingi mtaani
Njia panda unafanya nini mtt mzuri[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Wengi bado tuko njia panda kwenye hili?
Unahudimia watu kwa alivyokuwa anafanya mama Theresa wa Calcuta ama?
Go..! Hit the point.
Fafanua kidogo mwana kwetuNinahudumia watu lakini si fani ya udaktari
Uliwahi kuleta thread humu ya kutuaga ila haukuondoka hadi leo. Ni kipi kilikufanya uage? Na ni kipi kilikupelekea kuendelea kubaki?Ninahudumia watu lakini si fani ya udaktari
Hivi na ww kumbe KE??Jomoni!![emoji28][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimeandika How mkwe..Mkwe ni who au how? [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nipo nafuatilia kimya kimyaUdugu wangu emmyta shunie linamo cab ney sakayo mbon simioni huku
Huna swali muda ndo huuNipo nafuatilia kimya kimya
Nilikuwa shule na matokeo hayakuwa mazuri nilifikiri muda ninaotumia JF ulichangia lakini nimeyarekebisha lakini kuna wakati nitapunguza kuingiaUliwahi kuleta thread humu ya kutuaga ila haukuondoka hadi leo. Ni kipi kilikufanya uage? Na ni kipi kilikupelekea kuendelea kubaki?