Inakera mtu anapokutukana from no where lakini ninaweza mate na kuachana nae, tuwe tunaheshimu ushauri wa watu kwasababu tuna uwezo tofauti wa kufikiriSky Eclat tel me:
Ni kitu gani kinakukera hapa JF?
Ni kitu gani ungependa kifanyike hapa JF ili michango ya mawazo unayoletwa iwe na ubora na kureflect usomi wa members?
Ni kitu gani kinakufurahisha hapa JF?
poaHiyo kazi siwezi
muosha rungu
Nje ya jf ni mitandao gani mingine ya kijamii upo? Nayo ina nafasi gani kwako?Yaani ni mtihani lakini tunakwenda
Baba wa watoto???kivipiBaba wa watoto 5....kama unashida na mimi tafadhali nifuate Pm....!!
I know exactly how to deal with kind of people like you..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujifunze kuwaacha wenetu wajiamulie wapendacho.Sijafahamu watataka kuwa nani lakini ni maisha yao nitawapa support na elimu ila usishangae mtoto znaposema anataka kuwa foot baller au tennis player wakati traditionally tulilelewa kuamini best careers are lawyers and doctors
Mimi na hubby tumetengeneza maisha ya style yetu akiwa nyumbani anafanya kazi zote na mimi kadhalika hatuna culture ile anasubiri nirudi nipikeWe ni mke wa aina gani?
Wa aina ya enzi za mama/bibi zetu au wa kisasa?
Toka mwaka 1947...
We unabebanisha eeehhKweli hilo swali hakunijibu, nimegundua ili akujibu inabidi uulize swali moja moja[emoji3] [emoji3]
Good good best
nifungulie uzi unifanyie interview ndo nitakujibu!![emoji13][emoji13][emoji13]Hapana asee
Ila kinachonitatiza ni kauli yako
WW NI KE???
Kuna msemo unasema "show me yo friends and i will tell you the real you"Nimejibu mummy
Kwanza wajue Mungu, waheshimu watu, hakuna aliyependa kuwa masikini na wafanye kazi kwa bidii mkate unatafutwaTujifunze kuwaacha wenetu wajiamulie wapendacho.
Wapo wazazi wanaowakatia tamaa watoto wao kwa sababu mbali mbali, we kama mama unawashauri kipi?
Vichat vyako vinazidi kujibu kuwa ww ni KEToka mwaka 1947...
Hahahaa nimejua kwanini umeuliza hili swali...
Wanaume wa hivyo wapo wachache sana. HongeraMimi na hubby tumetengeneza maisha ya style yetu akiwa nyumbani anafanya kazi zote na mimi kadhalika hatuna culture ile anasubiri nirudi nipike
Oke
Ni story za nchi mbali mbali nilizotembelea si zote kuwa ni za a Kwamtogole, ninaweka tujifunzeKuna msemo unasema "show me yo friends and i will tell you the real you"
Story unazotuleteaga humu ni za marafiki zako kweli au za kutunga?
Mwenyewe niko njia pandaToka mwaka 1947...
Hahahaa nimejua kwanini umeuliza hili swali...
Akinisubiri si aatakufa na njaa kazi yangu ni demandingWanaume wa hivyo wapo wachache sana. Hongera