Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

It was one of "A well organised live show (interview)...inawezekana maswali na majibu, ni ya kupikwa...!!

Kwa nini maswali mengine ameyakimbia...?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekusikia ila sikubaliani Na wewe!
Sema au kitaje alichotanganya!

muosha rungu
 
Ni member tu huyo kama wengine au wewe ndivyo alivyo Na tunayemjua huwa tunampuuza tu
Wala sio msaidizi wangu!
Msamehe bure!

muosha rungu
 
Ni member tu huyo kama wengine au wewe ndivyo alivyo Na tunayemjua huwa tunampuuza tu
Wala sio msaidizi wangu!
Msamehe bure!

muosha rungu
Mshauri aje PM, nataka nione/nijue kipi kingine anacho fahamu zaidi ya kuuliza Members (We ni Ke au Me)..

Sio Busara kupitia mafunzo ya Jeshi, kama hujapitia vitu (adhabu ndogo) kama Kichura, Pushup na adhabu changamshi kadha wa kadha... !!

Hilo ni tatizo la kujiunga na JF bila kupitia USAILI...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By kesho atakuwa ban!

muosha rungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…