Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
It was one of "A well organised live show (interview)...inawezekana maswali na majibu, ni ya kupikwa...!!We unaye Organize Interview unatupotezea Muda.. Huyu Uliyemleta ni Muongo na hajibu maswali kama anavyoulizwa ni bora hiki kipindi kife hakina tija kabisa.. What is the Goal and Objective ya hii interview hmu nda, Nilitegemea huyu mnayemsifia kuwa yupo vizuri kichwani angekuwa anajibu maswali aliyoulizwa kwa upana wake badala yake anajibu hovyo na haeleweki... Muosha Rungu unawapotezea watu na mainterview yako
Niko insta na face book kwa kuwasiliana na ndugu na marafiki na kuweka picha za matukio lakini Sipo sana kama ninavyokuwa JFNje ya jf ni mitandao gani mingine ya kijamii upo? Nayo ina nafasi gani kwako?
Nimekusikia ila sikubaliani Na wewe!We unaye Organize Interview unatupotezea Muda.. Huyu Uliyemleta ni Muongo na hajibu maswali kama anavyoulizwa ni bora hiki kipindi kife hakina tija kabisa.. What is the Goal and Objective ya hii interview hmu nda, Nilitegemea huyu mnayemsifia kuwa yupo vizuri kichwani angekuwa anajibu maswali aliyoulizwa kwa upana wake badala yake anajibu hovyo na haeleweki... Muosha Rungu unawapotezea watu na mainterview yako
Ni member tu huyo kama wengine au wewe ndivyo alivyo Na tunayemjua huwa tunampuuza tuKamfundishe nidhamu, mwambie M. Melo (CEO) anatupa heshima yetu...
Hivyo kama Dogo huyo, ndie msaidizi wako katika kuosha Rungu, muambie "whatch out"...!!
Humu kuna watu wasio julikana, kama anajisikia kuwashwa na anahitaji kukunwa, mshauri anifuate "Private Masage" (PM) ..
Huko nitalalanae Mbele...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitaweza tokea kupika interview!It was one of "A well organised live show (interview)...inawezekana maswali na majibu, ni ya kupikwa...!!
Kwa nini maswali mengine ameyakimbia...?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...Nadhani yote haya ameyataka mama yako nilimshauri tutumie Condom akadharau, umeona matokeo yake sasa mtoto anamvunjia heshima baba yake hadharani.
Ww gasho usinizungumzie mimiNi member tu huyo kama wengine au wewe ndivyo alivyo Na tunayemjua huwa tunampuuza tu
Wala sio msaidizi wangu!
Msamehe bure!
muosha rungu
HahahahaPalee shunie anaposikia leo ni lugha ya ubuyu
Achana nae anasaka kiki tu huyo HR 666
Mshauri aje PM, nataka nione/nijue kipi kingine anacho fahamu zaidi ya kuuliza Members (We ni Ke au Me)..Ni member tu huyo kama wengine au wewe ndivyo alivyo Na tunayemjua huwa tunampuuza tu
Wala sio msaidizi wangu!
Msamehe bure!
muosha rungu
By kesho atakuwa ban!Mshauri aje PM, nataka nione/nijue kipi kingine anacho fahamu zaidi ya kuuliza Members (We ni Ke au Me)..
Sio Busara kupitia mafunzo ya Jeshi, kama hujapitia vitu (adhabu ndogo) kama Kichura, Pushup na adhabu changamshi kadha wa kadha... !!
Hilo ni tatizo la kujiunga na JF bila kupitia USAILI...!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa karibu yangu ningekuzaba kofi! Yaani unantukania dada zangu!?Usimfananishe coco Chanel na hao mifuniko ya vyoo(sky eclat na emmyta)
Poa naona umemteka carba.. tutambulishane aisee hunterHakuna neno hunter.
Kichumini tena mamaaHapo umenipoteza, nataka kile kichumi cha kwenda kwa naniliuu
...Kuna watu wanakeraa
anazingua kinyamaKama sio HR 666 basi ocean road
muosha rungu
NdiooKichumini tena mamaa