Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
It was one of "A well organised live show (interview)...inawezekana maswali na majibu, ni ya kupikwa...!!We unaye Organize Interview unatupotezea Muda.. Huyu Uliyemleta ni Muongo na hajibu maswali kama anavyoulizwa ni bora hiki kipindi kife hakina tija kabisa.. What is the Goal and Objective ya hii interview hmu nda, Nilitegemea huyu mnayemsifia kuwa yupo vizuri kichwani angekuwa anajibu maswali aliyoulizwa kwa upana wake badala yake anajibu hovyo na haeleweki... Muosha Rungu unawapotezea watu na mainterview yako
Kwa nini maswali mengine ameyakimbia...?
Sent using Jamii Forums mobile app