Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Interview za humu wazee wenzetu ni geniveros, sky na stable woman waliobaki wote ni 22 to 25
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mnabalaa nyie mjue, naona mnatusema mie na espy kuna uzi wa under 23 tumeingia na kujishaua juu mie 18, espy 20 sasa sijui mmetuchungulia???
BTW vipi mmeamka salama?
Cc Linamo
Cc antonio
 
Eeeeeh
Poa poa
Sina la kusema.. naona yangu itakuwa ya dk 2 na maswali machache zaidi.. itaishia pg ya 3.. sababu sina mengi mimi ya kuongelea kabisa.. Nimekuja kusoma nikafikiri nitakuta pages zimejaa maswali na majibu naona asilimia kubwa ni story za wengine.. unajua zile za kama watu wamekutana kijiweni na kunogewa kuongea.
Hata ukiulizwa swali moja linakutosha.

Nitakosa uhondo jukwaa la siasa ukipoteza muda kwenye usahili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mnabalaa nyie mjue, naona mnatusema mie na espy kuna uzi wa under 23 tumeingia na kujishaua juu mie 18, espy 20 sasa sijui mmetuchungulia???
BTW vipi mmeamka salama?
Cc Linamo
Cc antonio
Mie tangu hii wiki ianze ndio kwanzaaaa nina miaka 20, nimegoma kuzeeka. Kujikuta humu mwenye 40 niko peke yangu nini!!!
 
Hahahaaa! Kuna kapicha uliweka humu kanasema let the past........
Usifukue makaburi.
Aisee
a3b4a30caad3e6eb4e64b749a5eacdb9.jpg


Sent from my iDevice using Tapatalk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mnabalaa nyie mjue, naona mnatusema mie na espy kuna uzi wa under 23 tumeingia na kujishaua juu mie 18, espy 20 sasa sijui mmetuchungulia???
BTW vipi mmeamka salama?
Cc Linamo
Cc antonio
Ahahaha hamna kipenzi sijauona kabisa huo uzi ahhaha kwahiyo Ney we na Auntie yangu kumbe ndio wale wale tumeamka salama kipenzi hofu kwako tu
 
Back
Top Bottom