NJOGHOMILE
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 694
- 1,942
Ahsante.Uvumilivu, wenzetu ndoa maana yake ni mpaka kifo kiwatenganishe pia ni watunza siri wazuri sana. Yandani hayatakaa yatoke nje.
Rafiki yangu aliniambia mama yao aliwafundisha hata kilicholiwa ndani jirani hapaswi kujua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mnabalaa nyie mjue, naona mnatusema mie na espy kuna uzi wa under 23 tumeingia na kujishaua juu mie 18, espy 20 sasa sijui mmetuchungulia???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Interview za humu wazee wenzetu ni geniveros, sky na stable woman waliobaki wote ni 22 to 25
Hata ukiulizwa swali moja linakutosha.Eeeeeh
Poa poa
Sina la kusema.. naona yangu itakuwa ya dk 2 na maswali machache zaidi.. itaishia pg ya 3.. sababu sina mengi mimi ya kuongelea kabisa.. Nimekuja kusoma nikafikiri nitakuta pages zimejaa maswali na majibu naona asilimia kubwa ni story za wengine.. unajua zile za kama watu wamekutana kijiweni na kunogewa kuongea.
Admit it dalili za uogaHahahaaaa!! Ule ulikuwa usaili unaokwisha sio kama wa muosha rungu usioisha. No more maswali.
Hahahaaa! Kuna kapicha uliweka humu kanasema let the past........Admit it dalili za uoga
Sent from my iDevice using Tapatalk
Mie tangu hii wiki ianze ndio kwanzaaaa nina miaka 20, nimegoma kuzeeka. Kujikuta humu mwenye 40 niko peke yangu nini!!!
Itakuwa rula ya ubaoniUmetumia vipimo gani asee kuniita dogo.!
Mi mwenyewe nina 20 sasa hivi, mpe salamu Linamo mwambie anitue kuniita mzee mwenzie mtoto wa watu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Interview za humu wazee wenzetu ni geniveros, sky na stable woman waliobaki wote ni 22 to 25
AiseeHahahaaa! Kuna kapicha uliweka humu kanasema let the past........
Usifukue makaburi.
Ahahaha hamna kipenzi sijauona kabisa huo uzi ahhaha kwahiyo Ney we na Auntie yangu kumbe ndio wale wale tumeamka salama kipenzi hofu kwako tu
Yaani isingekuwa Joseverest tangu jana ningekuwa double ila kanirudisha kwenye usingle[emoji57]Uwe unapitia unaweza ambulia mchuchu halaf wengi wapo single
Mie mwenyewe nimegoma kupanda 20, nitashuka mpaka nifike 13 kama kichwa kichafu jirani yangu [emoji23][emoji23][emoji23]Mie tangu hii wiki ianze ndio kwanzaaaa nina miaka 20, nimegoma kuzeeka. Kujikuta humu mwenye 40 niko peke yangu nini!!!
Sijui kabisa ujue inafunguliwaje niliwaambia mods wanitolee pm kabisaNifungulie mm tuu kwa siri.
Ewaaaaa!! Kwahiyo kama una maswali yoyote subiri nikiweka uzi wangu wa kutafuta mchumba uje uniulize.Aisee
Sent from my iDevice using Tapatalk
Mbona sisi tuna 55 auntie jaman msisimamishe umri sio vizuri mjueMie tangu hii wiki ianze ndio kwanzaaaa nina miaka 20, nimegoma kuzeeka. Kujikuta humu mwenye 40 niko peke yangu nini!!!
Pole yenu wazee, mpambane na hali zenu tu.Ahahaha hamna kipenzi sijauona kabisa huo uzi ahhaha kwahiyo Ney we na Auntie yangu kumbe ndio wale wale tumeamka salama kipenzi hofu kwako tu
Ahahahah ulitaka kuwolewa aunt Jose naeYaani isingekuwa Joseverest tangu jana ningekuwa double ila kanirudisha kwenye usingle[emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ewaaaaa!! Kwahiyo kama una maswali yoyote subiri nikiweka uzi wangu wa kutafuta mchumba uje uniulize.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie mwenyewe nimegoma kupanda 20, nitashuka mpaka nifike 13 kama kichwa kichafu jirani yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakaweli acha sie tupambane na hall zetuPole yenu wazee, mpambane na hali zenu tu.