Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Sky Eclat ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia ya watoto watatu, nilizaliwa hospital ya Ocean Road ambayo sikuhizi ni maalum kwa matibabu ya cancer
Ingawa hujatupa muonekano!
Una taaluma gani Na kwa sasa unafanya nini?
Nani anaku inspire katika maisha yako ya kila iitwapo Leo!?

muosha rungu
 
Acha upuuzi wa kingese we jamaa...una mambo ya kijinga sana..badilika aisee hivi hata hujishtukii hapa ndani peke yako ndio unauliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu... ??

Ngoja nikae kimya tu, nisije nikala BAN BURE

Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App


Joseverest usihangaike na huyu mtoa mafua !mie ndo kiboko yake kwa kila week lazima ale ban hiv ametoka juz tu kwenye ban ! we akikutusi fanya kureport [HASHTAG]#mods[/HASHTAG] uzuri wao wanamjua !hawnaa shida kbs kumpa ban kila baada ya siku 5!
 
Back
Top Bottom