Elections 2010 Slaa Akata Anga Morogoro

Elections 2010 Slaa Akata Anga Morogoro

Magazeti ya Tanzania Daima, Raia Mwema, Majira ndiyo CCM imeamua kuyafungia yasipatikane mtandaoni hadi baada ya uchaguzi?
 
Alafu Chadema wote mnafanana akili. Kama vile babu wa babu zenu alikuwa mmoja na alikufa kwa kifafa!
Kifafa tena Aiseeee usitukumbushe, ila mwambie babu yako asirudi tena jangwani safari hii hanyanyuki.
 
Kifafa tena Aiseeee usitukumbushe, ila mwambie babu yako asirudi tena jangwani safari hii hanyanyuki.

Juzi waliposema kwenye ufunguzi wa mkutano wa CHADEMA kulijaa ma-barmaids pamoja na wahuni wa mitaani, akili ilizunguka kwa haraka sana kujaribu kutafuta link ya ile maneno na situation ninayoijua. JF
 
Juzi waliposema kwenye ufunguzi wa mkutano wa CHADEMA kulijaa ma-barmaids pamoja na wahuni wa mitaani, akili ilizunguka kwa haraka sana kujaribu kutafuta link ya ile maneno na situation ninayoijua. JF

CCM haiwezi kuishiwa vibwengo.
 
Slaa akata anga Morogoro


LEO Dk. Willlibrod Slaa alikuwa mkoani Morogoro, katika wilaya za Mikumi na Mvomero. Mikutano imefana. Amesisitiza haja ya Morogoro kuwa na wabunge wa upinzani ili kuongeza uwajibikaji katika halmashauri za mkoa huu, na katika nchi nzima kupitia Bunge; na kudhibiti wizi wa fedha za umma.

Akiwa Mikumi, alimlipua mwenyekiti wa kamati ya kampeni za CCM, Abdulahman Kinana, akisema kigogo huyo ana mkono katika biashara chafu za makampuni ya meli; akamtaka ajielekeze katika masuala ya kitaifa badala ya kumwandama yeye (Slaa). Akasisitiza kwamba ana ushahidi wa kauli zake, kwani hana historia ya kukurupuka.

Kauli hiyo ya Dk. Slaa inakuja siku moja baada ya Kinana kujibu mapigo ya makada wa Chadema, hasa Mabere Marando, ambao waliwataja hadharani vigogo wanaohusika na ufisadi mkubwa, huku CCM ikilalamika kwamba chama hicho cha upinzani kinatoa matusi.

Katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za Chadema, Marando alisema vigogo waliohusika na wizi wa EPA ni Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete, Rostam Azizi na Edward Lowassa, akasema waliofikishwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi ni dagaa wanaoonewa ili kuficha madhambi ya wahusika wenyewe wa ufisadi.

Juzi Kinana alijitokeza na kumbeza Dk. Slaa, kwamba anatumia lugha ya matusi kwenye kampeni kinyume cha makubaliano waliyosaini. Dk. Slaa jana alisema mtu akiiba anaitwa mwizi; na kwamba kumwita hivyo si matusi

Source: Ngurumo

Hii si dalili nzuri kwa Dr. manake atakua mtu wa kuendeshwa na matukio. Atajishushia hadhi ,abadili jinsi ya kueneza sera manake watu watamchoka kwa kuona hana jingine zaidi ya kusema watu na matukio. Mtazamo wangu jamani.
 
Hii si dalili nzuri kwa Dr. manake atakua mtu wa kuendeshwa na matukio. Atajishushia hadhi ,abadili jinsi ya kueneza sera manake watu watamchoka kwa kuona hana jingine zaidi ya kusema watu na matukio. Mtazamo wangu jamani.
Achana naye nyie hao hao mlisema kaisha alipolipua mwembe yanga baadaye mkanyamaza hata sasa mtasema mwisho mtanyamaza wenyewe jamaa anazidi kusonga mbele kesho anaingia kwa tingatinga.
 
Achana naye nyie hao hao mlisema kaisha alipolipua mwembe yanga baadaye mkanyamaza hata sasa mtasema mwisho mtanyamaza wenyewe jamaa anazidi kusonga mbele kesho anaingia kwa tingatinga.
Jamaa kashawashinda hawa jamaa kwani hashulishwi na vijembe vyao. Huo ndo uwanaume na demekrasia. haahahahahahaha. Watatoa lawama haoooo, wewe ngoja 1st November,2010.
 
I am serious. Some, if not many, people here argue like they had never been to any class in their entire life.

Watanzania hawataki kujua nani kaenda class au laa. Theory here is that ni kwa jinsi gani rulling class wanasimamia money from tax payers??????

Asiye jua kinana, RA ni wezi ni nani? hakuna mtanzania utamdanganya bwana.
 
Sasa ndiyo naanza kuelewa kwa nini CCM wanasisitiza lugha za ustaarabu wanaogopa kuumbuliwa madhambi yao, Kinana naye kesho aseme katukanwa kwa kuambiwa ukweli kuwa ana mkono kwenye biashara chafu ya meli. Kwani kusema ukweli ni matusi au wanafikiri sisi hatujui matusi ni kitu gani, wao wajibu hoja wasikimbilie kutukanwa au waende mahakamani.

Hii ni sahihi kabisa,ukikaa kimya wanapata ngvu ya kuendelea kukubomoa
 
Juzi waliposema kwenye ufunguzi wa mkutano wa CHADEMA kulijaa ma-barmaids pamoja na wahuni wa mitaani, akili ilizunguka kwa haraka sana kujaribu kutafuta link ya ile maneno na situation ninayoijua. JF

Aliyekwambia barmaids kura yao ina robo kilo na ya mtu kama wewe ina kilo kumi nani? Hao unaowaita wahuni wa mtaani ni Watanzania na ndio wanaokupa kula wewe na wenzio...changanya na za kwako...
 
Wakikaa pamoja, kuna mtu itabidi awe anasoma alichoandika February ahhh January Makamba.

8E9U0063.jpg

SLAA NA KIKWETE wawekwe kwenye mdahalo ndiyo utajua shule iko Chadema ama CCM.
 
Magazeti ya Tanzania Daima, Raia Mwema, Majira ndiyo CCM imeamua kuyafungia yasipatikane mtandaoni hadi baada ya uchaguzi?

Namimi ndo nashangaa kweli sipati manews kabisa toka Chadema wazindue kampeni. Saizi nasoma reserved news ambazo hata hazinipi raha.:confused2:
 
Jatropha,
Mwema yupo. Lakini kuna watu hawaguswi Bongo. Chenge ni mfano mmojawapo.
Kweli mkuu wangu huyu jamaa aliua wale wasichana waliokuwa wamepanda Bajaj na sikajsikia lolote kuhusiana na kesi yake.. yaani ndio anapeta tu hali wazazi wa watoto wale ndio wanalia kila kukicha..
 
Alafu Chadema wote mnafanana akili. Kama vile babu wa babu zenu alikuwa mmoja na alikufa kwa kifafa!

Nahisi kama utakuwa una mapepo weweeee!!!!!!! Manake kwa binadamu wa kawaida hawezi kuwa na akili kama ya kwako.
 
chadema inabidi wawe na surrogates kila kanda wa kujibu matope ya ccm within 24hours, ccm wanachokifanya ni kuwachanga wananchi waache kuzumgumzia masuala mazito waongelee upuuzi wa hicho wanachodai ni matusi

chadema chukueni huu ushauri ...................tafadhali
 
Lkini sasa kwenye TV ilionyesha akiwa Ruaha anahutubia kama watu 60 tu hivi. Sasa hapo imekaaje? Watu 60 minus watu wa CCM/CUF/NCCR=AB
Watu AB minus wasiojiandikisha=CD
Watu CD minus ambao hawatapiga kura siku hiyo=EF
Watu EF minus watakaoharibu kura=GH
Nikajiuliza, was it worth it to allow the prospective (president) to address a rally of such number of people?
On TV, people are interested with numbers, multitude of people attending rallies and this has got a big effect on who people will vote for in October.
What is wrong here?
 
Alafu Chadema wote mnafanana akili. Kama vile babu wa babu zenu alikuwa mmoja na alikufa kwa kifafa!

Ulitaka wawe na akili zilizotofautiana uwacheke kuwa ni mazuzu hayana umoja?

Kama babu wa babu zao alikuwa mmoja kuna ajabu gani ikiwa akili zao zinafanana?

Abdulahaman Kinana ni fisadi-jangili kanusha kwa ushahidi.
 
Back
Top Bottom