Elections 2010 Slaa amtaka Shimbo kueleza zilikokwenda sh bil 155 za Meremeta

Elections 2010 Slaa amtaka Shimbo kueleza zilikokwenda sh bil 155 za Meremeta

Kaka kuna mengine unayoyajua ya Jenerali Shimbo yamekufanya ufikie kutoa hatia hii ama ni hili la kukemea/kutishia ukombozi wenu tu...

Salaam
Naamini hujauliza swali hapo. Ila naamini kwamba yeye kama mnadhimu wa JESHI anazo taarifa sahihi za kutuambia sisi wenye jeshi letu kuhusu tuhuma za jeshi kutumika kama kichaka cha kupitishia dili zisizo safi.
Unajua hatutafuti ukombozi wetu bali tunapigania kubadilisha serikali iliyoko madarakani baada ya kushindwa kulinda heshima ya nchi na kufanya mambo ya hovyo hovyo. Kama serikali na idara zake haviheshimu na kuwathamini raia wake ujue hakuna cha kuwaonea haya.
Jeshi ambalo limajifahamu kuwa ni la ulinzi basi halipaswi kuwatishia wale linalowalinda. Hoja yangu ya awali ktk thread fulani ni kwamba, SHIMBO angewaita wanaotoa uchochezi kisha awape hayo maneno yake kisha wangeleta ukaidi ndo angekuja frontier na kuelezea juhudi walizofanya na tishio la kauli hizo. Kwa tamko lake naona jeshi limejivika jukumu la MAHAKAMA kuamua kama kuna uhalali wa ushindi au la!

Haya ya Meremeta si walimuuliza katika kamati za bunge na akawapa majibu. Wanashindwa nini kuyasema sasa? By the way hata Msanii anaweza kujibu mwenyewe
Kama aliwapa majibu wasingekuja tena hadharani kumuuliza na kutaka maelezo tena. Tatizo lenu wengi ni kwamba, yeyote mwenye fikra sahihi MNAMWONA NI msaliti. NDO MAANA MNAKUMBATIA MAJAMBAZI NA WAHALIFU huku mkisema mnatumia turufu ya kufahamika kwao na kukubalika (kuogopwa) kwao mbele ya jamii.
 
Shimbo sio mlinzi wa raia,yeye na genge lake wapo kimaslahi zaidi,hiyo ndo tz bwana labda kama dr phd akishinda ndio tuanze upya
 
Akitaka kupinduliwa aanze hizo ngebe za kufanya mizaha na jeshi. Mimi nafikiri, siku Dr. Slaa akiingia madarakani akae nao aone ni namna gani wanaweza kufanya naye kazi bila vikwazo. Lakini akiingia na kutaka kuanza kuwadodosa juu ya wanayofanya au waliyofanya ilahali wao wenyewe ndiyo wanaomlinda, wala hawatamwacha.

jeshi lenyewe la kupindua rais liko wapi ??? hili ni jeshi au ni GEMA security company!!!
 
jeshi lenyewe la kupindua rais liko wapi ??? hili ni jeshi au ni GEMA security company!!!

Duh! Ebwanaee! Umesahau kuwa gesi hili ndio lilimpindua Iddi Amini?, mie simo.
 
Ndugu zangu tuombe Mungu atusaidie. Ebu nendeni Lugalo mjionee wenyewe pale karibu na Kanisa la Mwingira. Ofisi tayari iko mbioni kukamilika zilikuwa nyumba za wanajeshi wameondolewa ili kupata ofisi ya mradi. Baadhi ya Tiller zimeshaingia ziko pale.

Nilikuwa sijui, kumbe mradi wa Shimbo na Mkuu. Ndo maana wanapiga kelele.
 
...lt Gen Shimbo amejiingiza kwenye ugomvi usiokuwa na sababu....waliomtuma wamekosea sana......sana..kwanza amevunja kabisa heshima ya jeshi...ambako tangu uhuru kamanda mwenye cheo cha aina yake hajawahi kupata kutoa tamko kwenye uchaguzi....

washauri wake wa uhusiano wamekosea sana...ingefaa sana kama kulikuwa na ulazima angemwachia msemaji wa jeshi..aseme...ni wazi ujumbe ungefika na wala isingekuwa na uzito kama ambavyo ameongea yeye.....
 
Jamani kinachojengwa pale pemben kwa mwingila ni nini.
 
Kaka kuna mengine unayoyajua ya Jenerali Shimbo yamekufanya ufikie kutoa hatia hii ama ni hili la kukemea/kutishia ukombozi wenu tu...

Who are you?? wewe kweli ni Mtanzania? .. maana naona umejiondoa ktk kundi la wanaopenda mabadiliko ya kweli.
Hivi siku ya siku hutaona aibu kujionyesha kwamba na wewe ulikuwa kati ya wale wanaotaka "mapinduzi" ?.
Na siku hiyo haiko mbali, ... ni siku chini ya thelathini sasa. Mtasaga meno!
 
...lt Gen Shimbo amejiingiza kwenye ugomvi usiokuwa na sababu....waliomtuma wamekosea sana......sana..kwanza amevunja kabisa heshima ya jeshi...ambako tangu uhuru kamanda mwenye cheo cha aina yake hajawahi kupata kutoa tamko kwenye uchaguzi....

washauri wake wa uhusiano wamekosea sana...ingefaa sana kama kulikuwa na ulazima angemwachia msemaji wa jeshi..aseme...ni wazi ujumbe ungefika na wala isingekuwa na uzito kama ambavyo ameongea yeye.....

We are masters of our own fate. Huyu bwana inawezekana ni mahiri wa kurusha makombora na kupiga risasi. Ila kama yalivyo mambo yooote ya ulimwengu huu, kila kitu kina kiasi. Hawezi kutumia order za kijeshi katika mambo ya kiraia. Yeye amekuwa nani hata afanye hivyo? Alichofanya sasa ni kuamsha interest za watu kumjua yeye ni nani, ana mitazamo gani etc etc.
Kama alivyo mchimba kaburi, ambaye huwa anaingia kwanza mwenyewe, ngoja tuuone umahiri wa General huyu kupangua hoja ambazo amezichokonoa zilikolala.
Naam, nakubaliana na wewe ametia doa sifa zilizotukuka za jeshi letu. Hili alilolifanya ni lake yeye personally kama Gen Shimbo. Siamini kabisa kama ni tamko la Geshi la wananch wa Tanzania.
 
Naamini hujauliza swali hapo. Ila naamini kwamba yeye kama mnadhimu wa JESHI anazo taarifa sahihi za kutuambia sisi wenye jeshi letu kuhusu tuhuma za jeshi kutumika kama kichaka cha kupitishia dili zisizo safi.
Unajua hatutafuti ukombozi wetu bali tunapigania kubadilisha serikali iliyoko madarakani baada ya kushindwa kulinda heshima ya nchi na kufanya mambo ya hovyo hovyo. Kama serikali na idara zake haviheshimu na kuwathamini raia wake ujue hakuna cha kuwaonea haya.
Jeshi ambalo limajifahamu kuwa ni la ulinzi basi halipaswi kuwatishia wale linalowalinda. Hoja yangu ya awali ktk thread fulani ni kwamba, SHIMBO angewaita wanaotoa uchochezi kisha awape hayo maneno yake kisha wangeleta ukaidi ndo angekuja frontier na kuelezea juhudi walizofanya na tishio la kauli hizo. Kwa tamko lake naona jeshi limejivika jukumu la MAHAKAMA kuamua kama kuna uhalali wa ushindi au la!
Kama aliwapa majibu wasingekuja tena hadharani kumuuliza na kutaka maelezo tena. Tatizo lenu wengi ni kwamba, yeyote mwenye fikra sahihi MNAMWONA NI msaliti. NDO MAANA MNAKUMBATIA MAJAMBAZI NA WAHALIFU huku mkisema mnatumia turufu ya kufahamika kwao na kukubalika (kuogopwa) kwao mbele ya jamii.

Kaka kwa unavyojua maadili na mfumo wa jeshi unadhani kuwa Shimbo alijiamulia tu kusema aliyoyasema kama wagombea wetu wanavyokuwa majukwaani? Hivi kweli unafikiri Shimbo alijipendekeza tu kwenda kufanya mkutano ule pamoja na wanadhimu wenzake wa majeshi mengine bila ya kuamriwa na CDF? Hivi unadhani Shimbo mpaka ameteuliwa kuwa mnadhimu mkuu katika jeshi letu na akakubalika na wanajeshi wenziwe atakuwa mtu wa hovyo kiasi cha kukurupuka kutoa onyo kali kama lile bila ya kupima madhara yake?

Ndio maana nasmea kuwa kama kuna mtu ana mapungufu yake mengine Jenerali Shimbo ayataje ili tuweze kutumia kama kigezo cha kumhukumu kama wengi wafanyavyo hapa.

Ni kweli katika vyombo vyetu kuna vicheche lakini siamini kuwa kila aliyeko huko ni kicheche. Wapo watu makini, wazalendo na waadilifu ambao hawalali kuhakikisha kuwa mimi na wewe tunaweza angalao kwenda kulala vyumbani mwetu bila ya kuogopa kumwagwa damu zetu. Siasa hizi za kshabiki ambazo ni wazi zina chimbuko linaloeleweka zisitufanye tufuate upepo wa kubomoa kabisa asasi zetu chache ambazo bado zinajitahidi kutekeleza wajibu wake. Na katika hili la Jeshi letu, ni kutulinda na maadui wa ndani na wa nje pamoja na amani ambayo yeweza kuwa si timilifu lakini inayotuwezesha kujenga mazingira ya kufikia amani timilifu tunayopaswa kuwa nayo.


Again kama kuna mapungufu ama maovu yanayomhusu moja kwa moja jenerali Shimbo basi yataje ili nasi tufungue macho zaidi...
 
Who are you?? wewe kweli ni Mtanzania? .. maana naona umejiondoa ktk kundi la wanaopenda mabadiliko ya kweli. Hivi siku ya siku hutaona aibu kujionyesha kwamba na wewe ulikuwa kati ya wale wanaotaka "mapinduzi" ?. Na siku hiyo haiko mbali, ... ni siku chini ya thelathini sasa. Mtasaga meno!

Sorry, sijaona bado dalili za mabadiliko ya kweli. Na hii ni baada ya miaka zadii ya mitano ya kuwa karibu na vuguvugu la mabadiliko haya. Mimi sna hulka ya kufuata upepo ama kufuata njia nyepesi ya so called mafanikio. Nionyeshe dalili ya mabadiliko ya kweli nikuunge mkono. Kama nilivyosema enzi za ukombozi wa MTANDAO na sasa nasema tena. Hakuna ukombozi wa kweli. Ni vuguvugu la ITS OUR TURN TO EAT tu....
 
[Bwashauri wake wa uhusiano wamekosea sana...ingefaa sana kama kulikuwa na ulazima angemwachia msemaji wa jeshi..aseme...ni wazi ujumbe ungefika na wala isingekuwa na uzito kama ambavyo ameongea yeye.....

Kwa mfumo wa jeshi sasa Mnadhimu ndio msemaji wa Jeshi....TIMING MIGHT BE WRONG BUT HE WAS FULFILING HIS DUTY na hilo ni lazima liheshimiwe kama kweli tunataka tujenge taifa makini na lenye kuthamini uwajibikaji...
 
Kwa mfumo wa jeshi sasa Mnadhimu ndio msemaji wa Jeshi....TIMING MIGHT BE WRONG BUT HE WAS FULFILING HIS DUTY na hilo ni lazima liheshimiwe kama kweli tunataka tujenge taifa makini na lenye kuthamini uwajibikaji...

kwa kutumia maneno yako hapo juu...............ina maanisha Gen Shimbo is WRONG fundamentally............
 
Jamani wadau, hili jambo inabidi litafutiwe data za kutosha ikiwezekana na ushahidi ili Dr. Slaa alipue jukwaani kabla kampeni hazijaisha. Mimi nilikuwa najiuliza imekuwaje jeshi linalolinda mipaka yetu lianza kutishia wananchi badala ya jesho la polisi. Kumbe kuna mradi wa kifisadi ndani yake!!! Duuuuu, kama ni kuongoza kiujanjaujanga, serikali ya jk imefanikiwa. Huyo shimbo lazima akangwe jukwaani mbele ya umma ili waTZ wafahamu sababu ya yeye kuwa kimbelembele kwenye jambo lisilomhusu.
 
Kaka kuna mengine unayoyajua ya Jenerali Shimbo yamekufanya ufikie kutoa hatia hii ama ni hili la kukemea/kutishia ukombozi wenu tu...

Salaam

Shimbo anahusika pia kwenye sakata la wanajeshi wa kulinda amani sudan waliokuwa Msata, ambapo walitakiwa kulipwa $1200 kwa mwezi kwa kama sikosei figure, badala yake alilazimisha walipwe $800 na taxes juu kwa kisingizio wanajeshi hao ni waajiriwa wa JWTZ na siyo UN. Hiyo ilipelekea wanajeshi wagome mpaka waliokuwa Sudan wakataka kurudi bongo ili waende wenye tamaa.
 
...lt Gen Shimbo amejiingiza kwenye ugomvi usiokuwa na sababu....waliomtuma wamekosea sana......sana..kwanza amevunja kabisa heshima ya jeshi...ambako tangu uhuru kamanda mwenye cheo cha aina yake hajawahi kupata kutoa tamko kwenye uchaguzi....

washauri wake wa uhusiano wamekosea sana...ingefaa sana kama kulikuwa na ulazima angemwachia msemaji wa jeshi..aseme...ni wazi ujumbe ungefika na wala isingekuwa na uzito kama ambavyo ameongea yeye.....

Jamani hapa naona tunachanganya mambo mawili.
Kuna suala linaendana na ufisadi ambalo kuna fununu jeshi nalo linahusika kama vile ilivyokuwa meremeta Gen. mboma na wengine walivuta hel.
Kuna suala la kulinda amani kwa watanzania ambalo lina husisha majeshi yetu na ndiyo maana yapo na ndiyo jukumu la kwanza.
Katika kulinda amani kwa watanzania haijalishi kama wanahusika na ufisadi fulani. Shimbo akiwa amefuatana na viongozi wengine walitoa tamko ambalo nia yake ni kutuhakikishia Watanzania kuwa usalama wetu uko mikononi mwao na kwamba tuko salama licha ya wanasiasa kutoa kauli ambazo kwa wananchi wapenda amani zinatia hofu, kama ambavyo Mbowe alivyosema ;TUTAMWAGA DAMU; kni kauli wa watu wenye simple mind wanaiona haina maana na ya kawaida lakini miyoni mwa wanaoitaja hujui wamedhamiria kiasi gani na kipindi kama hiki huwa hatari kuhamasisha na kuingiza taifa katika uasi na mauaji ya kisiasa.
MaJeshi yetu ndiyo yanaweza kutulinda wanasiasa wakitaka kutuletea vita ili wakamate madaraka ambayo wanaofaidi ni wao ndg zao na marafiki zao.
Hivyo jeshi lilifanya kitu halali kutoa tamko na kutupa faraja wananchi kwamba wanafuatilia na hawajalala kipindi hiki cha hatari.
Kimsingi jeshi likiona hali inakuwa mbaya ni bora hata wachukue madaraka ya kuongoza nchi ili kutuepusha kumwaga damu maana wanaotamka hivyo kuwa wanaondoa familia zao, ili wakifanikiwa kutusshawishi kukauana ili wafanikiwe kutwaa madarak kwa umwagaji damu ndugu zao warudi wale raha
Hivyo wanaJF tisiweke ushabiki wa mambo mawili tofauti kila jambo lipembuliwe peke yake bila kuchanganya na jingine. Shimba na wenzake wako sahihi
 
Jamani hapa naona tunachanganya mambo mawili.
Kuna suala linaendana na ufisadi ambalo kuna fununu jeshi nalo linahusika kama vile ilivyokuwa meremeta Gen. mboma na wengine walivuta hel.
Kuna suala la kulinda amani kwa watanzania ambalo lina husisha majeshi yetu na ndiyo maana yapo na ndiyo jukumu la kwanza.
Katika kulinda amani kwa watanzania haijalishi kama wanahusika na ufisadi fulani. Shimbo akiwa amefuatana na viongozi wengine walitoa tamko ambalo nia yake ni kutuhakikishia Watanzania kuwa usalama wetu uko mikononi mwao na kwamba tuko salama licha ya wanasiasa kutoa kauli ambazo kwa wananchi wapenda amani zinatia hofu, kama ambavyo Mbowe alivyosema ;TUTAMWAGA DAMU; kni kauli wa watu wenye simple mind wanaiona haina maana na ya kawaida lakini miyoni mwa wanaoitaja hujui wamedhamiria kiasi gani na kipindi kama hiki huwa hatari kuhamasisha na kuingiza taifa katika uasi na mauaji ya kisiasa.
MaJeshi yetu ndiyo yanaweza kutulinda wanasiasa wakitaka kutuletea vita ili wakamate madaraka ambayo wanaofaidi ni wao ndg zao na marafiki zao.
Hivyo jeshi lilifanya kitu halali kutoa tamko na kutupa faraja wananchi kwamba wanafuatilia na hawajalala kipindi hiki cha hatari.
Kimsingi jeshi likiona hali inakuwa mbaya ni bora hata wachukue madaraka ya kuongoza nchi ili kutuepusha kumwaga damu maana wanaotamka hivyo kuwa wanaondoa familia zao, ili wakifanikiwa kutusshawishi kukauana ili wafanikiwe kutwaa madarak kwa umwagaji damu ndugu zao warudi wale raha
Hivyo wanaJF tisiweke ushabiki wa mambo mawili tofauti kila jambo lipembuliwe peke yake bila kuchanganya na jingine. Shimba na wenzake wako sahihi

Kweli sasa naamini tunahitaji KUCHAPANA sasa..
 
Watasema umeandika mwenyewe, ngoja niongeze image yake nzima nzima

attachment.php


View attachment 14664

Umefanya vema, kwani omarilyas amesema nimeshindwa kutafuta story nzima wakati preview inatosha. Kama anataka full article anunue mwenyewe.
 
And this is enough for you to draw conclusions???? Halafu mnawashangaa wanaochagua CCM kila kukicha....Mmeshindwa hata kutafuta story yenyewe na kuisoma?

Nafikiri shule yako ni ndogo kidogo, ungekuwa umekwisha andika papers, usingeuliza swali lako kwenye red kwani reference imejitosheleza kwa wengine kupata full article na kuisoma!
 
Back
Top Bottom