Kweli kabisa jeshi letu litafutiwe kazi huko Somalia limekuwa jeshi la kula bure kulala bure, leo linatafuta visingizio visivyo na maana ili lianze kukimbizana na wananchi wake mitaa ya kariakoo lionekane linafanya kazi.
Mheshimiwa Rais wangu unayesubiri kuapishwa, Ukianza ugomvi na majeshi unajiongezea tabu.....
Sio kujiongezea tabu mkuu. Tukianza kuona kama kuna watu wako juu ya sheria basi hatuna nchi hapo. Ndo maana ukisoma ilani ya chadema kuhusu kuwa na muundo wa jeshi unaoendana na hali halisi ya taifa ikiwepo kutenganisha kabisa siasa na jeshi. Nchi hii tumepata matatizo makubwa sana ebu angalia wasomi wetu wanashindwa kufanya tafiti za maana na hata wakifanya tafiti zao ni za kisiasa kuliko hali halisi.(wanasiasa ndo wanaamua wewe msomi fanya utafiti huu na matokeo yake yawe hivi na vile and then unafanya. the same applied to jeshi.Mheshimiwa Rais wangu unayesubiri kuapishwa, Ukianza ugomvi na majeshi unajiongezea tabu.....
Mheshimiwa Rais wangu unayesubiri kuapishwa, Ukianza ugomvi na majeshi unajiongezea tabu.....
Sio ugomvi bali anamwaga upupu jeshini maana imani ya wale wa chini kwa wakubwa wao itachikichia. Imajini zifichuliwe taarifa za jinsi maduka ya kuuza vitu kwa bei ya chini yalivyohodhiwa na wakubwa na kuwalangua wale wa chini waht will happen?
Yule Gen aliyetamka yale is short sized and sighted. What do you expect from him? Anafikiri kushika bunduki ndio kitu kikubwa kuliko chochote duniani kwahiyo washika bundiki wawe wanaabudiwa. Sishangai kuona Afrika imejaa vurugu kila upande. Kama wanajeshi wenyewe ndio hao wanaowachokoza wananchi, nini chema tutarajie kutoka kwao
" .........Sio ajabu kwa kiongozi liyekaa madarakani miaka mitano akishindwa uchaguzi. Tunamwomba akishindwa akubali matokeo...........Iwapo wananchi watakataa matokeo itakuwa ni ishara ya wazi ya kutokukubaliana na utawala uliopo. Watanzania wanataka mabadiliko. Wamechoshwa na umaskini, wamechoshwa na rasilmali zao kuliwa na wachache. Watakachokifanya kulinda sovereignity yao ni kupiga kura. Sasa mtu yeyote atakayejaribu ku-temper na sovereignty ya Watanzania (nadhani anamaanisha Shimbo et al) ndiye huyo atakayesababisha vurugu. Kuwatisha watanzania kwa majeshi matokep yake ni bloodshake, tuache tuchague kwa amani............" MANENO YA ANANILEA NKYA LEO
Hata wewe utafukuzwa. Hakuna mtu aliyeshilikiana na mafisadi atakayepona. Na kwa hili tumempa sisi ridhaa ya kufanya hivyo.SASA HUYU SLAA KAMA "najuwa haitatokea" Akiingia ikulu Basi kutakuwa na mambo ..!? Fukuzafukuza kazi
WASTED :llama: HAKUNA JIPYA
=Africana;1128658]IKULU YA J K KIWETE IMECHAKACHULIWA, JESHI LIMECHAKACHULIWA,BUNGE LIMECHAKACHULIWA.JINILAHALI SHIMBO NAYE ANASIKIA KIU YA DAMU ILI ANYWE...SHAME ON YOU SHIMBO. TUNAKUOMBEA KIFO CHA HARAKA,MUNGU AIWEKE ROHO YAKO PABAYA KULE JEHANAMU YA MOTO. KAZI YAKO NI KUSUJUDIA WAZEMBE WSIOJUA WAJIBU WAO ILA KUSEMA KABLA YA KUFIKIRI,SHAME ON YOU JK KIWETE, UNATAKA KUIFANYA IKULU ILIYOTENGENEZWA NA MTAKATIFU NYERERE KUWA YA MASHETANI @#!%* ZENU. MMEJAA UKIMWI NA MASHETANI MPAKA MNADONDOKA HOVYO MAJUKWAANI, JK KIWETE UMETUTIA AIBU PALE ULIPODONDOKA UGHAIBUNI MBELE YA WADHUNGU,HATUKUTAKI RAISI MSHIRIKINA MKUBWA WEE. NATAMANI NIKUNYONGE ILA UWEZO SINA. PINDI DR SLAA ATAPOSHIKA MADARAKA TUTAPENDEKEZA UNYONGWA MPAKA UFE KWA DHAMBI ULIZOLITENDEA TAIFA HILI TEULE LA TZ.
Mi sichemi, just tafuta kioo ujiangalie.....WALE WAJINGA WA REDET AKINA DR BANA NA YULE HAWARA WA PROF MUKANDARA YAANI DR KILIANI TUNAWASIHI MUANZE KUSOMA NYAKATI KAMA WANAVYOFANYA MA DONS WENZENU WA HAPOHAPO MLIMANI. NADHANI NINYI NI FORM SIX LEAVERS WITH PhD CERTIFICATES. UWEZO WENU WA KU ANALYSE MAMBO NI MDOGO SANA NA HAPO NDIPO UDSM INAPOANZA KUDHARAULIWA. FANYENI KAZI ZENU KAMA ACADEMICIANS NA SIO KAMA VIATU VYA WALE HOOLIGANS YAANI JK KIWETE NA WASAIDIZI WAKE WAVUTA BANGI WANAO SEMA KABLA YA KUFIKIRI MFANO NI YULE MZEE MCHOVU YUTUPU MAKAMBA.
Bado namheshimu Mzee wangu lakini angalieni hizi kampeni zenu za kujinyoshea vidole......mtajipa chongoBRAVO DR SLAA, BRAVO WAPENDA MAENDELEO WOTE. REDET NA SISIMBU WOTE TUNAWAOMBEA MAISHA MAFUPI ILI MTUACHIE NCHI YETU TUPATE KUIENDELEZA. REDET ANZISHENI CHAMA CHENU CHA SIASA NA WAZINZI MSIICHAFUE UDSM ILIYOANZISHWA NA BABA WA TAIFA MTAKATIFU NYERERE
Slaa makini kweli, within 4 days keshapata details zote za hao wawili, kikwete na Shimbo! Mungu umlinde Dr wetu.
Mkuu Hagonga,Dr Slaa alikuwa anazijua Tuhuma hizi,Lakini hapakuwa na nafasi ya kuzisema,Lt.Gen Shimbo alipokosea kutamka aliyoyasema kuhusu matokeo ya Uchaguzi ndio ikabidi Dr Slaa amrudie na kuweka wazi maovu yake....Dr Slaa anajua mengi kuhusu Watendaji hawa wa Serikali ya Kikwete kuliko unavyofikiri.
Hali iliyopo sasa sio katika Jeshi tu bali hata katika Taasisi nyingine za Serikali,Walioaminiwa kupewa dhamana wamekuwa wanatumia nafasi hizo kujinufaisha kuliko kuihudumia Jamii.Ndio Tatizo la kuwapa Wafanyabiashara dhamana ya kuongoza Jamii.Lt.General Shimbo kama ilivyo kwa Mkuu wa majeshi (CDF) Kwa Taaluma ni Makachero Jeshini,na bila uoga naweza kusema hali hii ya kuwa Wafanyabiashara zaidi walijifunza kutoka kwa CDF Mstaafu Mboma.Uzalendo wa kuitumikia Jamii umeondoka miongoni kwa Watendaji wengi wa Umma.
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka mikoa ya Mbeya,Iringa,Morogoro na hata Dodoma kuwa Matrekta hayo madogo (Power Tillers) yapo kwenye viwango dahaifu,na mara nyingi yanashindwa kufanya kazi sawasawa kutokana na ugumu wa ardhi,kumekuwa na malalamiko kutoka Wilaya ya Mbalali ambako wameagiza matrekta hayo zaidi ya 850,ambayo huuzwa kwa wakulima kwa kiwango cha Tshs 4m mpaka 6m.
Imefika wakati sasa tuseme "NO" kwa Wafanya biashara waliojipenyeza kunyonya wananchi maskini kwa kofia ya Uongozi.
"tumeshitushwa, hatukubaliani na tunalaani tamko la jwtz na polisi, linaingilia uchaguzi mkuu na linalenga kuvuruga amani kwani tamko hilo limeficha na kusheheneza malengo ya maslahi binafsi, siyo maslahi ya nchi kama umma unavyoaminishwa, tamko hilo lina agenda ya siri na tunasikitika jwtz kufanya kazi za polisi," linasema tamko la wanaharakati wa femact lililotolewa leo.