Elections 2010 Slaa aunguruma Mwembeyanga, LIVE TBC1

Asante Atigi kwa picha. Tuongezee muhtasari wa hotuba kama inawezekana.

Taifa letu liko tayari kufanya Historia. Historia ya kubadilisha chama tawala kwa mara ya kwanza. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki kiongozi wetu mpendwa Dr. Slaa.
 
Safi sana Atigi maana mi nkifkiri hajafika upande huo' na mi ngoja nizipeleke maeneo zaidi wadau wazione!!
 
big up dakta slaa, we gona reach the appex of citizens' desire, which results to the death of ccm.
 
atigi, big up kwa picha jjapo suna tu. Maaskofu na Masheikh mbona hawasemi hili ni chaguo la Mungu au wanamuogopa makamba?
anyway, kazi inaonekana na nia pia imedhihiri. tunasubiri kuona ccm wakiwa bench wanafanya nini.
 
ikiwa huku ni 'kuteka', kule kunakofanywa na ccm na cuf zanzibar tutakuita 'kupindua' au?
 
My take: Kwanini huu mkutano waDr Slaa kuaga Dar es salaam usingefanyika jangwani?
Siujui vizuri huu uwanja wa Mwembeyanga lakini sidhani kama ni mkubwa kama wa jagwani.

Wenye kuujua watuhabarishe na maandalizi yanakwendaje?
 
Mambo ya Zenji







Vipi Habarii imekaaje?

 
Isingekuwa neema ya mawasiliano basi tungedanganywa sana.

Eti Slaa aiteka Zanzibar! Mbona watu ni wachache hivyo.

Nikiingalia hiyo picha naona waandishi wawili wa habari wakiwa wamekaa chini. Karibu kabisa na dkt.Slaa ambaye amezibiwa na doti za kanga zilizofungwa na kamba ya katani.

Dkt Slaa mwenyewe amesimama kwenye kitu kifupi kama si stuli basi ni jiwe.Hakupata waandalizi,vyenginevyo hawakuona haja hiyo kwa vile mpaka dakika za mwisho hakukuwa na dalili za kupatikana wasikilizaji.


Ufupi wa mambo ni kuwa dkt.Slaa kaisha kabisa.Nikisema hivyo ni katika kila hali hata ya kiafya.

Kutokana na fani yangu naweza kusema kuwa dkt.Slaa ana tatizo la hypertension.Kampeni ziishe akapumzike kabla hajaanguka kwenye majukwaa.
 

ndugu mimi nilikuwa maeneo ya tukio,kwa nature ya zanzibar slaa alipata watu wengi sana kupita hata wale wa jk karatu ambao hata hivyo walibebwa kutoka ktk majimbo mengine kuficha haibu.kuhusu kuanguka kaka hapo utakuwa unamkashifu jk kwan yeye ndio mwenye ugonjwa wa kuanguka..usiwe na jazba ya siasa kaka.kama iko,iko tu.
 

Kuanguka ni tatizo la kiafya ambalo dkt Slaa analo sawa na mwenzake-Kikwete.Katika hali kama hii ni ushauri mzuri kuwa muda wa kupumzika umefika.

Katika tukiio la kampeni la Zanzibar ni wazi kuwa wapambe wa dkt.Slaa walitaka kuudanganya umma.Eti mpiga picha wake hakuwepo hivyo watu wasingeweza kuona picha za tukio hilo.Walisahau kuwa enzi hizi uchukuaji picha hufanywa na hata watoto wadogo katika ubora wa hali ya juu kwa kutumia simu tu.Yawezekana hawa wapambe wamekuwa wakifanya ubabaishaji aina hiyo maeneo mengine.
 
ANGALIZO: TBC wasije wakafanya mchezo mchafu kama waliyoyafanya Jangwani maana this time around it will cost them even more
 
Heko Dr.SLAA.kwa kufika Zenji,safari hii hatudanganyiki.chadema hoyeeeee!chimbua kila mahali tunataka badiliko.kuna mpuuzi nimemsikia anadai bilioni tatu!!! Eti kachafuliwa kawe jana,ha ha hai hai!
 
Kichuguu
Huwezi kutegemea nyomi la kufa mtu kwenye mikutano ya Slaa Zenj. Lakini huo umati unatia moyo. Ni watu wengi hao. Hata channel ya CCM, yaani TBC walionyesha watu wengi tena wenye hamasa.

Kura za Slaa zipo huko Zenj.
 
OK Mzee Slaa kamilisha kila kitu leo hapo Mwembeyanga kwani ndio kitovu
cha ukombozi wa WaTz kuwajua mafisadi na vilevile ndio kitakuwa kitovu
cha mageuzi kwa wananchi kuweka uongozi mpya Nchini Tanzania.
Kila KHERI Dr.Slaa.
 
Ss sijajua kampeni zitaanza sa ngapi!! Lkn vyovyote vile lazima niwepo pale, the finest ondoa shaka kuhusu kiwanja, kiwanja ni kikubwa, ufanyefanye kazi zako twende tukamsikilize rais wetu mtarajiwa.
 
Ss sijajua kampeni zitaanza sa ngapi!! Lkn vyovyote vile lazima niwepo pale, the finest ondoa shaka kuhusu kiwanja, kiwanja ni kikubwa, ufanyefanye kazi zako twende tukamsikilize rais wetu mtarajiwa.
i miss you suzane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…