Ndugu yangu kama ushabiki huu umezidi! ninavyokumbuka mimi haikuwa hivyo. jamaa kweli alichelewa mbaka saa kumi na mbili alikuwa bado hajafika, mishale ya saa kumi na mbili ndo helkopta yake ilionekana angani lakini watu tiyari walikuwa wameishatawanyika pia ingekuwa vigumu yeye kuhutubia kulingana na sheria za uchaguzi zinazoagiza kuwa kampeni iwe mwisho saa kumi na mbili. lakini hata hivyo hakikualibika kitu kwani wagombea na viongozi wa chadema waliendelea na kampeni zao kama kawaida huku wakipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa mashabiki waliofurika kumsubili silaa. watu wanasubiri labda kesho kama atahutubia