Elections 2010 Slaa kama huwajui WATANZANIA ndio hawa

Elections 2010 Slaa kama huwajui WATANZANIA ndio hawa

Mshirazi

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2009
Posts
444
Reaction score
177
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,

Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....

Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa
 
:dance:Haya ndio yale ya REDET na SYNOVATE ya kucook tu, "u can fool some people sometime but u cant fool all people all time" Mwaka huu watanzania watafanya maajabu kwenye siasa, sisi tutulie tu maana ahadi zimetolewa tangu CCM ilipokuwa madarakani na hadi leo hazijatekelezwa, Muda wa mabadiliko ni Mwaka huu.Pipooooooooooooooooooooooooz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,

Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....

Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa

Wapiga kura wa mwaka 1995 siyo wa 2010. HATUDANGANYIKI
 
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,

Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....

Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa

Pole sana

Mafisadi wanapadikiza mtu arafu wanampeleka mtangazaji wa BBC akamuoji

Mwaka huu hatudanganyiki


Tanzania Moja yenye neema TAnzannia ya SLAa

Mungu Ibariki Africa, Mungu azidi kutuonesha mafisadi, Mungu Mbalike Dr Slaa
 
yale yaliyomkuta mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta slaa,

naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko musoma, ambapo mtangazaji wa bbc alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba wao wanakwenda tu kumsikiliza lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza dira ya dunia ya bbc ya jana october 14.... Matangazo hayo yanapatika online.....



Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... Ila usikate tamaa

kama ndyo hivyo mamilioni ya picha,kofia, tshirt, khanga, mabango na helkpta 3 vyote vya nini?
 
kama ndyo hivyo mamilioni ya picha,kofia, tshirt, khanga, mabango na helkpta 3 vyote vya nini?

Mkuu hizo ndio kampeni,, kama uwezo unao kwanini usitumie!?.... ndio lazima utumie na ugharamike hata kama upinzani ni dhaifu lazima kampeni ziwepo na fedha (halali) zitumike.
 
Humpati wa kumdanganya hapa,ila usanii wenu tuna ujua tayari
 
Unajidanganya mwenyewe,kwa nini wasiende kw wa CCM au CUF au NCCR ikiwa ni kusikiliza tu???Huko ni kujaribu kujipa matumaini,subiri 31.10.2010 uone je wanakwenda kusikiliza tu au pia watapiga kura.Mwamuzi ni sanduku la kura.
 
Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,

Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....

Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa

Pole sana tunakusamehe bure, yawezekana hujui wapiga kura wa mwaka huu wana tabia gani.Nikusaidie kuwa 50% ya wapigakura wa mwaka huu wana umri kati ya 18-35. Mwenye umri wa miaka 35 mwaka 1995 alikuwa na miaka 20 yawezekana hakujiandikisha kwa kukosa mvuto, mwenye miaka 18 alikuwa na miaka 3, Kwa hiyo wengi wao unawasingizia kuwa walifanya hayo madudu ya 1995 wakati sivyo.Nakusaidia kwa hayo tu
Pole sana
 
Kama hivyo, ndivyo!basi na wale wanaokwenda kusikiliza mikutano yote ya JK,siyo wote watakaompigia kura,na hao waliyohojiwa na BBC ni mamluki wa CCM!HIZI NI MBINU ZA KIIBA KURA!SAFARI HII MTAKIONA CHA MTEMA KUU NA GREEN GUARD YENU[(This is JANJAWEED(SUDAN),(INTERAHAAM IN RWANDA), 1994]
 
Mshirazi ebu rudisha kumbukumbu zako way back 2005 TIDO ndo alikopatia u MD wa TBC kama fadhila ya kujikomba kwa JK
 
Kama hivi ndivyo!basi na wale wanaokwenda kusikiliza mikutano yote ya JK,siyo wote watampigia kura,na hao waliyohojiwa na BBC ni mamluki wa CCM!hIZI NI MBINU ZA KIIBA KURA!SAFARI HII MTAKIONA CHA MTEMA KUU NA GREEN GUARD YENU[(This is JANJAWEED(SUDAN),(INTERAHAAM IN RWANDA), 1994]

Haina maana kumsikiliza mgombea basi uwe ni mwanachama wa chama husika watu wanaenda kusikiliza ili wapate kujua mgombea atazungumza matatizo yao au....?

Ni hatari sana kufikiria kuwa eti wanaohudhuria mikutano wote watapiga kura ni sawa na kumpa kibogoyo mfupa atafune.

Najua ukweli unauma sana sipati picha mtakapopata matokea ya uraisi na wabunge hiyo siku ikifika nitakuwa na laptop yangu nawaapdate kutoka makao makuu ya tume ya uchaguzi.

Namsikitikia sana Slaa angegangamara jimboni chadema wamemtumia kumuua kisiasa bila yeye kujijua ita fika wakati atakuwa kama mrema hata udiwani akisimama watamdondosha.

Natamani ningekuwa nafahamiana nae nimshauri.
 
icon1.gif
Slaa kama huwajui WATANZANIA ndio hawa


Yale yaliyomkuta Mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta Slaa,

Naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko Musoma, ambapo mtangazaji wa BBC alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba WAO WANAKWENDA TU KUMSIKILIZA lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza DIRA YA DUNIA ya BBC ya jana October 14.... matangazo hayo yanapatika online.....

Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... ila usikate tamaa

Wapigakura wa mwaka 1995 siyo wa 2010 kwa sababu zifuatazo:-

a) Waliojiandikisha mwaka 1995 walikuwa ni wachache sana na wengi waliokuwa wakihudhuria mikutano ya Mheshimiwa Mrema walikuwa hawajajiandikisha lakini kutokana na shahada ya kupiga kura SASA KUWA ni ufunguo wa maisha kwa maana ya kitambulisho ndiyo maana wapigakura wameongezeka hadi kufikia milioni 19.6 kulingana na takwimu za NEC.

b) Ugumu wa maisha na kukosa shughuli ya kufanya kutafanya wengi ya waliojiandikisha kujitokeza siku hiyo na kupiga kura ya mabadiliko.

c) Wapiga kura zaidi ya theluthi moja ni wapya walio na umri kati ya miaka 18 hadi 23 na hawana mfungamano wa kihistoria na CCM hivyo angalau asilimia sabini yao watampigia Dr. Slaa kwa sababu CCM imejionyesha ni Chama cha Mafisadi na hakina mpango wa kukisaidia kizazi kipya zaidi ya kukipora jasho lake kama tunavyoona kwa waimbaji vijana wanavyonyonywa na CCM kwenye kampeni zake.

d) Hata wewe Mshirazi ifikapo siku ya uchaguzi utabadilika na utataka mageuzi ila hutampigia Dr. Slaa kwa sababu ambazo mimi na wewe tunazijua lakini utampigia Prof. Lipumba na CUF

GO DR. SLAAAAAAAAAAAA GO IKULU AWAITS YOUR LEADERSHIP....................
 
Haina maana kumsikiliza mgombea basi uwe ni mwanachama wa chama husika watu wanaenda kusikiliza ili wapate kujua mgombea atazungumza matatizo yao au....?

Ni hatari sana kufikiria kuwa eti wanaohudhuria mikutano wote watapiga kura ni sawa na kumpa kibogoyo mfupa atafune.

Najua ukweli unauma sana sipati picha mtakapopata matokea ya uraisi na wabunge hiyo siku ikifika nitakuwa na laptop yangu nawaapdate kutoka makao makuu ya tume ya uchaguzi.

Namsikitikia sana Slaa angegangamara jimboni chadema wamemtumia kumuua kisiasa bila yeye kujijua ita fika wakati atakuwa kama mrema hata udiwani akisimama watamdondosha.

Natamani ningekuwa nafahamiana nae nimshauri.

Kwanza, Afadhali umetuthibitishia vibaraka wa ccm mlivyojipanga kuchakachua matokeo, utuletee update za matokeo kutoka makao makuu ya NEC kwani wewe ndiye Jaji Makame??!!

Pili, Hata kama ungekuwa unafahamiana nae, asingeweza kukubaliana na ushauri wako, na nadhani kwanza huo si ushauri, unajaribu kufurahisha nafsi yako na kutekeleza majukumu uliyopewa na mafisadi waliokutuma.
Pole sana, mwaka huu haibiwi mtu.
 
Usiusemee moyo.. Kama upo hivyo usituringanishe mana tumechokaaaa.
yale yaliyomkuta mrema mwaka 1995 ndio yanaelekea kumkuta slaa,

naam,,, sio wote wanaokwenda kwenye mikutano yake ni wapiga kura wake... Hayo yamedhihirika katika mkutano wake wa hivi karibuni huko musoma, ambapo mtangazaji wa bbc alifanya mahojiano na watu kadhaa waliohudhurua mkutano huo na kukiri kwamba wao wanakwenda tu kumsikiliza lakini kura zao ni kwa mwenzie...na wakamtaja jina huyo mwenzie,,,, ushahidi wa haya sikiliza dira ya dunia ya bbc ya jana october 14.... Matangazo hayo yanapatika online.....

Slaa,,, hao ndio watanzania,,, wanajua vema kupambanua
teh teh teh.... Ila usikate tamaa
 
1995 ulimpigia kura nani?

nilimpigia mkapa 1995,sikupiga kura 2000,2005 nilimpigia kikwete.
NAJUUUUUTA KUWAFAHAMU HAWA WATU......
.......................2010 sidanganyiki, kura kwa Dr Slaa...........................tupo wengi sana wenye msimamo huu,kama mmeshikilia historia itawaumbua mwaka huu.
 
Haina maana kumsikiliza mgombea basi uwe ni mwanachama wa chama husika watu wanaenda kusikiliza ili wapate kujua mgombea atazungumza matatizo yao au....?

Ni hatari sana kufikiria kuwa eti wanaohudhuria mikutano wote watapiga kura ni sawa na kumpa kibogoyo mfupa atafune.

Najua ukweli unauma sana sipati picha mtakapopata matokea ya uraisi na wabunge hiyo siku ikifika nitakuwa na laptop yangu nawaapdate kutoka makao makuu ya tume ya uchaguzi.

Namsikitikia sana Slaa angegangamara jimboni chadema wamemtumia kumuua kisiasa bila yeye kujijua ita fika wakati atakuwa kama mrema hata udiwani akisimama watamdondosha.

Natamani ningekuwa nafahamiana nae nimshauri.

Wanaokwenda kwenye kampeni za CCM wataipigia kura CCM, ila wanaokwenda kwenye kampeni za CHADEMA wanenda kusikiliza tu...........!!! Hahaaaaa CCM bwana mnataka tuamini hivyo. Mbona sasa CCM inahangaika kusomba watu na malori kama mambo yako kama ya 1995.
 
Back
Top Bottom