Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye

Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Hao ndio wanatafutwa Sana, na ndio huwa wanampa kiburi Kagame, kuna mmoja alishawahi kufurumushwa kwa habari za mtaani lakini, msikariri, kama TISS mpo humu basi kuweni makini sana na Wanyarwanda
 
Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Hao ndio wanatafutwa Sana, na ndipo huwa wanampa kiburi Kagame, kuna mmoja alishawahi kufurumushwa kwa habari za mtaani lakini, msikariri
 
Nasikia kuna mjeda mmoja aliyekuwa na asili ya kagame alikimbia jeshi na Kurudi kwao..
Kamwacha mke ana hangaika na watoto mpaka sasa, mke yupo kama mwendawazimu mpaka sasa, maana hajui kama mme wake yupo hai au ndio kwishnei, maana si unajua tena ukishastukiwa unakuwa huna dili tena, tena hata Waliokutuma wanaweza kukupoteza
 
Hizi njia siamini kama zinatumika sana kwa nchi za kiafrica ukitaka kupata data we toa mkwanja hadi nyaraka muhimu za ikulu unaletewa!

Waafrica wanapenda sana hela
Hela na wanawake!
 
Hizi njia siamini kama zinatumika sana kwa nchi za kiafrica ukitaka kupata data we toa mkwanja hadi nyaraka muhimu za ikulu unaletewa!

Waafrica wanapenda sana hela
Hela na wanawake!
 
Kwaiyo Profesa Mruma tunaweza kumuita sleeper agent mkuu?
 
Back
Top Bottom