Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atusaidieJeshi letu lipo vizuri hakuna sleepers agent kama walivyofanya Nigeria na kuwadaka watatu
Mimi mwenyewe hata kama sijawahifanya kazi hizi za Upelelezi, ila naona "usiri" kwako kazi! Yani mmeyaanika vilivyo....naishi Msumbiji mkuu nirudi Tz unifunze?
Nalog off
ngombe!Malizia hii story ili nasi tudokoe japo kidogo, ila nimeona warundi na wanyarwanda wanaotumia passport za Tz wanavyogunduliwa kirahisi, hawa jamaa hawawezi kusema NG'OMBE, wao huwa wanasema ngombe, pia kwenye rangi huwa wanajisahau na kuzitamka kwa kifaransa.
Nalog off
Mtajenaona kama kuna kiongozi Mkubwa hapa kwetu alafu ni kama sleeper agent vile
Kipi kilichoanikwa?Mimi mwenyewe hata kama sijawahifanya kazi hizi za Upelelezi, ila naona "usiri" kwako kazi! Yani mmeyaanika vilivyo....
naona kama kuna kiongozi Mkubwa hapa kwetu alafu ni kama sleeper agent vile
Sleeper agents wengi huwa wanapandikizwa katika nchi na taasisi bila hata wao wenyewe kujijua kama wapo kwenye infiltration plan.
Operation inaweza chukua hata 30 years kulingana na uimara wa ulinzi wa host country.
Inaweza kuhusisha kuanzia utungwaji wa mimba mpaka malezi ya mtoto.
I'll be back....
yani cc dunia iyo hata hatupo kama usalama kila mtu anawajua kuna siri gani tena
Sent from my LG-H500 using JamiiForums mobile app
Ni series nzuri huwa naipenda sanaI agree with you asee.. Kuna series inaitwa undercover.. Ni kielelezo tosha.. Ndo dunia lakini akili kumkichwa
kwa bongo hali ni tofauti sana wa huku hutumiwa kutesa na kunyanyasa raia wasio na hatia....
vipi kwani uongo?Mmmmmmh
vipi kwani uongo?
utaelewa tuu...usiofuMkuu, mimi mwenywe mgeni sielewi aiseee.
Mkuu, Nisaidie sielewi hiyo issue ndiyo maana nimeshangaa!!