Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hawachelewi kulalamikaHahahaaa umeonaee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawachelewi kulalamikaHahahaaa umeonaee
Kwanini mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Umeifanya jioni yangu iwe murua sana
Hiyo kibera si ndo uko uko kenyaApana kuna soweto kibera ni ya pili africa
Nimekuwa nikikutana na hili neno "slums" kila nikisoma habari za kenya hasa hasa kuhusu mji mkubwa uliojengeka kimiundombinu East Africa yote Nairobi.
Naombeni jirani zangu wakenya mnieleweshe maana ya hilo neno
Acha upotoshaji weweComes from the word Dar is Slum
swali murua sana hiloKwanini mkuu
YesHiyo kibera si ndo uko uko kenya
Ok nishaelewa nimekuwa nkisikia watu wakisema Nairobi kuna "slums "nyingi kuliko mji wowote duniani
Wala sio neno linalotumika Kenya tu...nilisoma sana hilo neno chuo kwenye course ya Settlement
Sehemu zilizo na miundomsingi duni kama Bagamoyo Tandale na kadhalikaNimekuwa nikikutana na hili neno "slums" kila nikisoma habari za kenya hasa hasa kuhusu mji mkubwa uliojengeka kimiundombinu East Africa yote Nairobi.
Naombeni jirani zangu wakenya mnieleweshe maana ya hilo neno
Hilo nakubali kabisa wakati Watanzania wanawaza Dar tu hawajui Arusha haiingii kwa Kisiii au Mwanza haiikaribii Nakuru au Mbeya haiwezi kuifikia EldoretWabongo wanabishana na Nairobi, Kenya haijengi Nairobi tu. Mbali sana hadi Nanyuki mamboo ni mazuri Kenya
Cheki a castle hotel in Nanyuki
![]()