Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Hahahahahahahahahahahahahahaha kuna mda mwingine ukikutana na kichaa inabidi na ww ujufanye kichaa ili asijione mpweke kwa hii dunia.We ni kichaa kama mimi
Yep,,niliona kila kitu my dia,,na nilikushauri sana kuwa achana nao[emoji23][emoji23][emoji23],,, mti wenye matunda.................Pole sana rafiki siasani ni ngumi mkononi kuleeeee huku ndo kutamu asee hapa kati palinogajee.. Warmly welcome na asante sana rafiki
Mahondaw wa Smart911
Umenisahau mie tena napendaga kweliMiss u more
hahah na wewe unanyapia nyapia mpaka huku hospitali alipo Mobeto
Shoga jaribu na wewe. Mie nilijaribu imesaidiaUlijaribu ile kuchemsha giligilan na kunywa ??nipe mrejesho
Ulikunywa glass nzima au kikombe kidogo?Shoga jaribu na wewe. Mie nilijaribu imesaidia
Best angu buana ha ha ha ha haMaserati best embu njoo mpe khanga mwenzio huyu culture gal maana naona kakurupuka kutoka kitandani alafu kanivamia maana naogopa kesi ya kubaka
Glass,ya baridi. Unainywa kila asubuhi b4 mealUlikunywa glass nzima au kikombe kidogo?
Halaf unakunywa ya moto au uvuguvugu?
ulikunywa siku ngapii?
Si walisema ukifufuliza kunywa ni balaa inabidi kwa wiki unywe mara mbili,asubuhi na jioniGlass,ya baridi. Unainywa kila asubuhi b4 meal
Mie Nilikuwa nakunywa asubuhi tu b4 meal. Haijaleta madhara hayoSi walisema ukifufuliza kunywa ni balaa inabidi kwa wiki unywe mara mbili,asubuhi na jioni
Shika adabu yako mimi mchepuko wa nani??Usiwe mnafiki sema asiniquote mimi Aleppo maana huyo culture gal ata simtaki wee mtongoze tu sina wivu usisafirie nyota yangu
pambana na hali yako na usiniseme kimafumbo
watafute michepuko yako
cc espy Khantwe na wengineo
uniache mimi na mate wangu mahondaw usije ukaingilia barabara yangu wewe pita kivyako
Mke mwenza mbona umepotea hivyo jamani? Nani anakuficha?
HeeeeeHivi unajua sipo jukwaa la wakubwa ,,sijui nani kanitoa huko
Shoga nakaba penati.Mke mwenza mbona umepotea hivyo jamani? Nani anakuficha?