Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua


Nini maana ya dual sim?
 
Mi nna Lumia 710, yaani ni choo cha kike, nifanyeje ili niweze kudownload na kutumia huduma za pesa pesa?
Wana JF jaribuni kuipata TECNO PHANTOM A PLUS, hapa wameweza kwa kweli
 
Hivo vimeo vyote, ni vya very low end users....
Bora kutunza hela kununua simu decent.. hizo CPU na GPUs hata decent games hazipeleki labda anayecheza flappy birds.. kama mtu unahitaji smarphone kwa nini utake cha quality mbovu. Tunza hela ununue basi hata nexus 5 $350 au subiri mpya inakuja june inaitwa OnePlus One ambayo itakua $299...
 
Tecno zina tatizo gani mkuu mkwawa? mimi sina ujuzi wa simu kabisa..

tecno zinatumia chip ya mediatek na chip ya simu inajumuisha vitu kama hivi.
-processor
-gpu(kwa ajili ya games na app kubwa)
-fm radio
-network radio mambo ya 3g na 2g

hivyo tunaweza kusema chip zinazoekwa kwenye simu ndio kila kitu sababu mambo yote muhimu yapo kwenye hio chip, chip ikiwa mbaya na simu pia itakua mbaya. mediatek ina matatizo mengi kama.
1.inacorupt imei number na ikicorupt basi huwez piga simu wala kupokea wala kufanya karibia shughuli zote za kisimu hadi uifix.
2. huwezi kuiupdate simu ya mediatek kama inakuja na android 4.1 ili iende 4.2 inabidi ununue simu nyengine
3. simu zote za mediatek zinatumia cortex a7 ila wanatoka processor ya cortexa15 soon. hii processor ya a7 haina nguvu sana.
4. sometime vitu kama gps wifi au bluetooth pia huzingua

ina matatizo mengi meadiatek na pia simu zake ni bei rahisi sana.

incase ndio huna budi inabidi ununue simu ya mediatek zipo simu kali za around dola 130 kama xiaomi hongmi aka red rice na huawei honor 3c unaweza ukazigoogle uone zilivyokua na specs kubwa kwa bei ndogo
 

actual lumia 520 haina c-r-a-p specs sababu even gs3 haina krait ina cortex a9, na lumia 525 inahandle game lolote la kwenye windows phone hadi magame makubwa kama gta san andrea na halo. pia si kila mtu ana uwezo wa kununua simu ya dola 300 ambayo huku itauzwa laki 6 kupanda juu.
 
Mi nna Lumia 710, yaani ni choo cha kike, nifanyeje ili niweze kudownload na kutumia huduma za pesa pesa?
Wana JF jaribuni kuipata TECNO PHANTOM A PLUS, hapa wameweza kwa kweli

1. tecno phantom plus si budget phone sababu bei yake inazidi hio laki 3
2. hata ingekua inauzwa bei ndogo chip yake haikidhi mahitaji ya kuwa hapa.

kuhusu lumia yako unaweza kuihack sababu hio peke ake ndio lumia yenye uchochoro wa kufanya unavyotaka
 

Chip ya phantom haikidhi kivipi?
Nipe mautundu ya kufanya kuhusu hii Lumia 710 iweze kuwa rafiki
 
Chip ya phantom haikidhi kivipi?
Nipe mautundu ya kufanya kuhusu hii Lumia 710 iweze kuwa rafiki

chip ya phantom plus ni mediatek soma hapo juu nimetaja matatizo yake na hata kama ndio unanunua hio simu ya mediatek why utoe laki 5 wakati zipo za laki 2 zenye specs kama hio?

kuhusu hio 710 google lumia 710 jailbreak utaona tutorial zake ila pima ugumu wake kama huwez achana nayo
 

Afadhali umesema maana thread yenyewe inajieleza lkn mtu bado anakuja kusema eti simu ni za very low end users. Yeye kama anataka hizo decent basi azifungulie thread then atoe elimu yake atuache wengine tuchambue hizi za bei rahisi.
 
vipi kuhusu lumia naskia hazisupport huduma za kipesa!! Naomba kujua kwa lumia520 kama nayo haisupport!
 
vipi kuhusu lumia naskia hazisupport huduma za kipesa!! Naomba kujua kwa lumia520 kama nayo haisupport!

inaitwa ussd simu zinazotumia windows phone 7 hadi 7.8 hazikubali ussd. ila simu za wp8 na wp8.1 zinakubali ussd hivyo lumia 520 inakubali pia.

 
Nimeipenda sony xperia e1 ingawa hiyo moto e ni kali zaidi,bei ya hiyo sony inarange vp dukani?
 
bei yake ni kama hizi tu 150,000 hadi 300,000 sema haina hadhi nayo ya kuwa hapa sababu
1.processor yake ni single core za hapo juu zote ni dualcore
2.kioo cha 3.5 chenye resolution ndogo

Asante mkuu kuna mtu alitaka kuniuzia 350000 nikagoma
 
Naomba mnielekeze na aina ya vioo ambavyo havivunjiki kirahisi hasa simu ikidondoka, maana uzembe wangu upo kwenye kupasua vioo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…