Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Mkuu chief mkwawa nimekukubali na nimejifunza mengi kutoka kwako...mimi ninashida ya kupasua vioo vya simu ningependa kujua ni smartphone gani ambayo iko na uwezo mzuri ambayo siyo touch screen? Asante chief
 

hakuna simu ya Android isiyocheat benchmark. ni useless clone zinafikisha had 30000. na hio imei officially mediatek wametoa bado tool ya kufix sasa wewe ukikataa sijui inakuaje

pia humu jf search watu kibao wanalalamika wana tecno na imei zimecorupt
 
sasa hivi ipo dola 59 juz ndio ilikua hio 49 sema simu za ruzuku unajua mpaka uzi unlock?

Amazon.com: Nokia Lumia 520 GoPhone (AT&T): Cell Phones & Accessories

Mkuu hapo nimekuelewa. Ila nilitaka kujua kwa hapa bongo iko bei gani? Na ni mara nyingi tu huwa naingiaga katka mitandao kama ebay na amazon. Kinachonishinda kununua simu ni kwamba, sijui ni jinsi gani nitaupokeaje mzigo wangu na ni wapi? Kwa posta nasikia kuna upotevu wa mizigo. So inakuwa ngumu kufanya hyo inshu ya kununua online
 
Mkuu chief mkwawa nimekukubali na nimejifunza mengi kutoka kwako...mimi ninashida ya kupasua vioo vya simu ningependa kujua ni smartphone gani ambayo iko na uwezo mzuri ambayo siyo touch screen? Asante chief

siku hizi ni ngumu kupata smartphone ambayo sio touchscreen ya kisasa.
 
Mkuu mimi nina swali kuhusu galaxy mega 6.3 ina maana hii simu kioo chake hakina protection mfano gorilla glass kama zilivo s3 n.k ? pia nauliza ina maana jelly bean yake ndo imeishia hapo hapo kwenye 4.2.2 ?? Tatu na mwisho os vesrsion inapozidi kuwa updated ina faida gani,mfano 4.2.2 ina tofauti gani na 4.4.2 ??
 
Thanks C/Mkwawa for useful info, nauliza, nikitaka kumnunulia mtu zawadi Samsung S 5 ya clone mpya ambaye sio mtaalam wa mambo ya sim, je ataweza kujua kama hio sio original ? Yaani kuna namna awezagundua kirahisi ?

Ha ha bila shaka ni mupenzi loo nimechoka.
 
Ha ha bila shaka ni mupenzi loo nimechoka.

Not at all dear Amu..kuna watu wengine wanaokutengenezea mambo yako huwezi kumshukuru kwa pesa, unampa zawadi ya kitu, tena humpi yeye, unampa mwanaye..they'll never forget you easily..!!
 
Not at all dear Amu..kuna watu wengine wanaokutengenezea mambo yako huwezi kumshukuru kwa pesa, unampa zawadi ya kitu, tena humpi yeye, unampa mwanaye..they'll never forget you easily..!!

Hiyo ni nzuri zaidi nimeipenda ila bana achana na miclone tafuta you will get genuine one with affordable price Huawei g 525 350,000 nafikiri sahivi itakuwa imeshuka.
Ninaitumia haijansumbua kabisa nainjoy
 
bei yake ni kama hizi tu 150,000 hadi 300,000 sema haina hadhi nayo ya kuwa hapa sababu
1.processor yake ni single core za hapo juu zote ni dualcore
2.kioo cha 3.5 chenye resolution ndogo
chief-mkwawa vipi kuhusu Sony Experio C laini mbili? nataka kuinunua,
 
Last edited by a moderator:
Kila simu inategemea wewe unahitaji nini, kumuuliza chief mkwawa bila wewe kueleza unahitaji nini hasa kwenye simu ili na yeye anapoiangalia aweze kushauri kulingana na mahitaji yako. Sasa ukimwambia hii vipi nataka kuinunua utakuwa unataka aingie akilini mwako kujua nini unafikiria au yeye akushauri kulingana na mahitaji yake.
 

Chief Mkwawa na wataalam wengineo,naomba msaada wenu ipi bora kati ya Xperia M na Motorola Moto G?
 
chief-mkwawa ningependa kujua hizi simu za huawei,
Ukinunua na ukitoa betri zinakuwa na series.
Mfano: huawei Y300-100 au huawei Y300-151,je zinautofauti wowote?half inakuwa made in China.

Ahsante.
 
Last edited by a moderator:
Nimepitia specs zake naona kama moto bi zaidi lakini kuna maeneo sikupenda. Muda wa kukaa na charge haujazungumziwa ingawa battery ya moto ni kubwa kuliko ua sony. Pia moto haina expandable memory kwa hiyo kama ni mtu wa kutunza madude mengi kwenye simu haikufai.
 
Mi nna Lumia 710, yaani ni choo cha kike, nifanyeje ili niweze kudownload na kutumia huduma za pesa pesa?
Wana JF jaribuni kuipata TECNO PHANTOM A PLUS, hapa wameweza kwa kweli

Mimi mwenyewe Lumia 610 imenikera hapo tu. Nani atusaidie wajamaa
 
CHIEF MKWAWA

Salute kwako mkuu. Swali,kwa hiyo hiyo simu zote za lumia zenye window 8 hadi 8.1 hazina shida na mambo ya tgopesa,mpesa au airtel money? Maana kuna hii taarifa kua wp zinazoishia na 20 mfano lumia 520,620 ndio zinakubali tu zingine zinagoma. Kwa hiyo hiyo hiyo 8 na 8.1 zimemaliza hilo tatizo?

Napenda sim za wp sema hilo tatizo linaniogopesha Chief. Nipe uhakika nihamie window phone.
 
Last edited by a moderator:

Thanx Kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…