INAUZWA Smartwatch kwa bei ya offer

INAUZWA Smartwatch kwa bei ya offer

Wewe unatumia aina gani ?
Hii hapa inaitwa t500 watcg ultra nipo nayo kama wiki mbili hivi
IMG-20230829-WA0000.jpg
 
Kuna hela naisikilizia nitakuja kuchukua moja InshaAllah ,bahati nzuri mitaa ya huko mwenyeji nimekaa sana Miteda karibu na malawi hospital.
Karibu sana boss wangu
 
Nia yetu tumalize mzigo ili tuagize mwingine ni heri kupata faida ndogo mzigo uishe kuliko kutegemea faida kubwa na mzigo bado unao.
Sasa tunauza piece moja kwa bei ya jumla yaani Tsh 35,000 tu kwa piece
Picsart_23-09-01_19-53-07-328.jpg
PXL_20230901_093533119.NIGHT.jpg
PXL_20230901_093548051.jpg
 
Unaweza kukuconnect na pods ukaplay na kisikiliza audio ?

Je inakuwa na uwezo wa kuhifadhi audio kama ndio storage yake inakuwa ngapi ?
Hapa hujanipa jibu mkuu @monetheist kama zinakuwa na uwezo wa kuplay audio kama ipo ,storage uwezo wa kuconnect na pods Via bluetooth.
 
Hapa hujanipa jibu mkuu @monetheist kama zinakuwa na uwezo wa kuplay audio kama ipo ,storage uwezo wa kuconnect na pods Via bluetooth.
Haiwezekani boss ili uitumie kama simu unahitaji kuconnect na applicationa ambayo itakua kwenye simu yako kisha unawasha Bluetooth ya simu na saa hapo utaweza kuitumia saa kama kisaidizi cha simu yako kwa pods haitawezekana boss
 
OFFER, OFFER, OFFER
ULTRA 9 SMARTWATCH 2023
Inakuja na mikanda 7 na cover
Tsh 47,000 tu
Dar es salaam
0692402211
IMG_20231029_090039.jpg
 
IMG_20231029_090128~2.jpg
Picsart_23-10-31_08-13-09-431.jpg
 

Attachments

  • Picsart_23-10-31_08-10-50-983.jpg
    Picsart_23-10-31_08-10-50-983.jpg
    133.7 KB · Views: 8
Back
Top Bottom