Ngoja wanitumie waone.kama kuna mtu ambaye anaona ameingiliwa faragha yake nendeni mahakamani.. angalau muoneshe ujasiri kuwa hamjaridhishwa.. haitoshi kulalamika humu.
mungu hasikilizi wapumbavuMtandao gan wamewaluhusu ccm hiv jamaa hawa hawana din au marafiki wa karibu wa kuwaambia ukweli.Tumshilikishe mungu jaman atusaidie
Mtandao gan wamewaluhusu ccm hiv jamaa hawa hawana din au marafiki wa karibu wa kuwaambia ukweli.Tumshilikishe mungu jaman atusaidie
mbaya zaidi wengine tumepata saa nane za usiku:mad2:
Mtandao gani huo kama vipi tupige chini line zake faster kabla hatujaichangia sisiemi kinguvu kaka. Napata hasira sana na hiki chama shule, hospitali, mvua ikinyesha Dar?, foleni, mikataba mibovu, maji, umeme(wanataka kupatisha kwa asilimia 39 mjiandae) bado ni tatizo kwa jamii Tuwaondoe kwa votes guys wake up
kwa uelewa wangu huwezi ukapata sms hizo kama hujajiunga sasa je? wewe ulijiunga au ni suala la upeo wa elimu ulitumiwa sms ukajua ni lotto ya zain,tigo nk.sababu kama wewe hutaki habari za chama au kujishirikisha na bahati nasibu hiyo sio lazima kama huna chambo pumzika kaka
Bora mimi sijapata,maana ningetapika"Mteja wetu wa Kachumbari ulinufaika sasa hivi una nafasi ya kujishindia milioni 40, Pikipiki 64 na baiskeli 200. Tuma neno CCM kwenda 15016 Kujiunga ni bure." Ujumbe huu umeniudhi sana baada ya kuupata asubuhi hii. Sasa CCM wanaendesha hii bahati nasibu wakati huu wa kampeni kwa nini? Huku sio kuwaghiribu wapiga kura kweli? Sheria ya gharama za uchaguzi na maadili ya uchaguzi yanakubali kweli kitu hiki? Ni sahihi kutunisha mfuko wa kampeni kwa njia hii kweli?
Kwanza sielewi nitume neno CCM kwa misingi ipi? Hivi hivyo vitu wanavyo chezeshea hiyo bahati nasibu vitajumuishwa kwenye gharama za uchaguzi? Na hiyo gharama ya kutuma ujumbe huo bure itaingia kwenye gharama za uchaguzi? Tendwa jamani huko wapi? Mbona unakuwa kama pilato wakati wa hukumu ya Yesu!
Ili nisipate tena SMS kutoka CCM nimei-block hii namba!
Changia chadema
account no 2266600140, jana la account ni chadema, bank ni nmb, tumia tawi lolote, hata kama uko nje ya nchi, nenda kwenye tawi lolote la rabobank ,
au tumia namba ya simu 15710, tuma neno chadema,
asante, mchango wako ni muhimu sana.
People power
Mashaka matupu bora ujumbe huu angeutoa DR SLAA humu angeweza kueleweka sasa LipaMungu unataka kujitajirisha!?Changia chadema
account no 2266600140, jana la account ni chadema, bank ni nmb, tumia tawi lolote, hata kama uko nje ya nchi, nenda kwenye tawi lolote la rabobank ,
au tumia namba ya simu 15710, tuma neno chadema,
asante, mchango wako ni muhimu sana.
People power
Asante sana mkuu, inafanyakazi, ni muhimu sana ndugu tuunganishe nguvu kuyashinda mafisadi.Changia chadema
account no 2266600140, jana la account ni chadema, bank ni nmb, tumia tawi lolote, hata kama uko nje ya nchi, nenda kwenye tawi lolote la rabobank ,
au tumia namba ya simu 15710, tuma neno chadema,
asante, mchango wako ni muhimu sana.
People power