Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,656
Ngoja wanitumie waone.kama kuna mtu ambaye anaona ameingiliwa faragha yake nendeni mahakamani.. angalau muoneshe ujasiri kuwa hamjaridhishwa.. haitoshi kulalamika humu.
Network provider wangu watanitambua kama mimi nina elements za Mtikila.
Nawaburuza mahakamani.