SMS za kuhimiza kujiandikisha kupiga kura zimekuwa kero

SMS za kuhimiza kujiandikisha kupiga kura zimekuwa kero

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Tukio la 2019 2020 na hivi mimi mtoto wa mkulima nimesoma kwa shida nimefanya vibarua kulipa ada Leo huu mwaka wa 6 sina ajira.

Wakuu naomba app ya kulock hii sms ya jiandikishe kupiga kura. Kwa siku inaingia mara 4 seriously? Hapana ni kulock tu.
 
Tukio la 2019 2020 na hivi mimi mtoto wa mkulima nimesoma kwa shida nimefanya vibarua kulipa ada Leo huu mwaka wa 6 sina ajira. Wakuu naomba app ya kulock hii sms ya jiandikishe kupiga kura. Kwa siku inaingia mara 4 seriously? Hapana ni kulock tu.
Tukio la 2019 2020 na hivi mimi mtoto wa mkulima nimesoma kwa shida nimefanya vibarua kulipa ada Leo huu mwaka wa 6 sina ajira. Wakuu naomba app ya kulock hii sms ya jiandikishe kupiga kura. Kwa siku inaingia mara 4 seriously? Hapana ni kulock tu.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
Tukio la 2019 2020 na hivi mimi mtoto wa mkulima nimesoma kwa shida nimefanya vibarua kulipa ada Leo huu mwaka wa 6 sina ajira.

Wakuu naomba app ya kulock hii sms ya jiandikishe kupiga kura. Kwa siku inaingia mara 4 seriously? Hapana ni kulock tu.
Watu tuna stress zetu kila baada ya dk moja ujumbe wa kujiandikisha, ovyo kabisa
 
Si bora wewe mara nne wengine hapa hadi mara saba kwa siku
sioni ubaya ukikumbushwa nawe ukamkumbusha na mwengine binadamu tumeumbwa kusahau

mbona msahafu ni uleule na unasomwa kila siku kwa watu
 
Back
Top Bottom