Ungevaa viatu kwanza vya mtoa mada af ndo utoe maoni yako.Kwan kujiandkisha ni lazma!?...yaaan nkama wanalaxmisha watu wajiandkishe binafsi kwa sarakasi za 2019/2020 na maneno ya ushaidi ya wenye kushika mpini kupig kura ni kama kujidharirisha wananchi.Lakini huu upuuzi wa vyam vingi sijui kwanini wasivifute kibaki chama kimoja tuu ili tusiendelee kupotezeana mda wakati wenye kuamua nani ashinde sio wapiga kura.